Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
weka tu tuzame pmMie nikiweka picha hapa, watasema nataka kuharibu uzi.
Nafaidi kutazama za wengine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka tu tuzame pmMie nikiweka picha hapa, watasema nataka kuharibu uzi.
Nafaidi kutazama za wengine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usikasirike nawe[emoji7]Umeshaanza tayari
Kwakweli,wanahisi kila mtu ni type yaoNa haina adabu kabisa, wakati mwingine mtu anajibizana na babu yake humu na kutoleana matusi.
Naisave[emoji23],nikimmiss coca nasoma[mention]cocastic [/mention] aise nmetafuta hi hadi nmeipata
[mention]Kelsea [/mention] [emoji23][emoji23]
mwanza nako kuna ka utamu kake bhana hasa kimvua mvua hivi kimetoka kumaliza kunyesha huku unasubiri supu ya sato 😋 na kuvuta hewa safi ya ziwa victoriaBwiru -Mwanza
Sawa,,,Tunaweka ila tumeondoa kichwa kwa sababu binafsi.
View attachment 2180765
Safi[emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] huko napita sanaa tuu mbona
Wagonge tu dada zetu akili ziwakae sawa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]ah mkuu!! Kwann umesema hivyo?
Umeona ehhWewe ni mchokozi
Umetahiriwa juu na chini
ushindwe wewe kunenepa mwaka wako huu...shida hautofaidi sana maana dozi yako itasababisha nifie kifuani kwako...ujueJomoneee oneni hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu mwaka ni wangu mie.
😄😄😄Nashindwa kukufikia [emoji1]
Usitake nianze kufanya pedicure hayo mambo ni yenu hukohuko Dar kwenye wakaka warembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KhaaaahSoo wewe bali Cocastic niliku tag tu ufurahi
Upo huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka shost, achana na pipo wa hapa huwawezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imeanza lini tena? KhaaaahIla Wanaume wa hivi wanajua kuhonga yaani mpaka roho anakupa aina hii ndo ugongwa wangu [emoji51]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mie leo sina nguvu za kucheka[emoji1787]
Eti mpaka roho[emoji23]