Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Mbna km hauko sawa? Yaan km umetoka kulia inakataa, unalazimishwa kucheka inagoma, km una stress vile inakuja kwa mbalii, vipi tatizo nn? Umeachwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Futa hii leta nyingne, sijaielewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[mention]cocastic [/mention] aise nmetafuta hi hadi nmeipata
[mention]Kelsea [/mention] [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom