Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
hahahaha.hujatulia rafiki,karibu iftarMashangazi ndo tupo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha.hujatulia rafiki,karibu iftarMashangazi ndo tupo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ooook nimekuona,sogeza hiyo simu kidogo
Haiwezi kutokeaLazima awakamue sana kimasihara
Nakusalimia Tichaa
Wewe ni mchokoziMaster wa mademu
Shemej mzma ww?Naaam mama
Master wa mademu
Ni dogo sana
Shemej mzma ww?
Asante rafikihahahaha.hujatulia rafiki,karibu iftar
Au jana ulikua umelewa?Kwan hili jina nmelipatia wap hivi?
AhahahaNimezeeka sana sema tu dada zenu wananitunza vyema.... tafuta hela, ng'ombe mzima kuchinjwa nyumbani sio lazima upatwe na msiba au harusi.
Nenda Pugu Mnadani, nunua ng'ombe mkubwa kachinje nyumbani mfanye mashindano ya kuchoma nyama
😂😂 huko napita sanaa tuu mbonaAsante sana kwa kunikumbuka bosslady…
Hufikiki upande wa pili [emoji28]
Na haina adabu kabisa, wakati mwingine mtu anajibizana na babu yake humu na kutoleana matusi.Jf kuna vitoto
😂Ooook nimekuona,sogeza hiyo simu kidogo
Mbna km hauko sawa? Yaan km umetoka kulia inakataa, unalazimishwa kucheka inagoma, km una stress vile inakuja kwa mbalii, vipi tatizo nn? Umeachwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Futa hii leta nyingne, sijaielewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au jana ulikua umelewa?