Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Ndio shida ya kuvuta bangi ndani ya quaresma na ramdhani.. Itabidi vijana wakufunge kamba kwanza utulize wenge. [emoji23]
Wenge unalo wee, [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Nikutag sehemu ukaanze kuhemkwa na kutukuana? Mambo n motoooo huko.
 
Huu uzi umekuja kupora hati miliki ya mwenye huu uzi chini...

 
Wenge unalo wee, [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Nikutag sehemu ukaanze kuhemkwa na kutukuana? Mambo n motoooo huko.
Kutukana tena, mie na masuala ya kutukana wapi na wapi.!??

Nishtue nikaone.
 
Kutukana tena, mie na masuala ya kutukana wapi na wapi.!??

Nishtue nikaone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] kwa hiyo mada usipotukana na kuhemkwa nahama JF mazima.

Ngoja nkakutag kuleee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…