Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

sijakataa kwa wazazi wangu naweza nikawa mtoto ila kijamii mimi sio mtoto...mtu mwenye watoto zaidi ya watatu unaweza kumuweka kwenye kundi la watoto...?
Mimi mtoto wangu wa kwanza nilimpata nikiwa na miaka 13 darasa la saba. Mtoto wangu wa nne nikampata nikiwa na miaka 17, nilifukuzwa nyumbani kwa kuwamimbisha wasichana wa kazi.
 
Unaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!![emoji23][emoji23]
Kweli sura sio roho..[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
sijakataa umebashiri vyema...ebu nieleweshe unazungumzia utoto gani kwani...? kama ni watoto ninao tena wanasoma na wananitegemea mimi kama baba yao...!
Wee ni mtoto bado hata hivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sijakataa umebashiri vyema...ebu nieleweshe unazungumzia utoto gani kwani...? kama ni watoto ninao tena wanasoma na wananitegemea mimi kama baba yao...!
Labda waseme tu mwili wako hauzeeki kama wa komledi polepole[emoji41]
 
Back
Top Bottom