Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada nimecheka kwa nguvu km chizi,

Wallah mnisamehe tyuuuh. Kna mtu ashawahi nambia ile comment ka screenshot, kila akitaka kucheka anaisoma woiiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe ninayo...sitanii...
Dadako nilicheka jamani[emoji28][emoji28]
 
Kwanini tunaweka picha tunaficha na emoji?
Kwanini tunaweka picha halafu tunazifuta kabla wengine hawajaona?
Vyema huu uzi ni wa kujiachia bana,ya nini kujifichaficha,kuliko hivyo ni bora usiwe kabisa.
FB_IMG_1635860989464.jpg
 
Kwa muonekano wako utanifia kifuani bureee, mie huniwezi hata.
Sitaki case ya kuwafanya watu wawe wajane na yatima, tena kwaresm hii akuuuj [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usitoe hukumu kwa muonekano wa njee...siwezi kujisifu ila ninayo dawa ya watu kama wewe ya kuwakausha maji yote...ebu panga muda na saa mimi nikafie kifuani kwako bwana maisha nimeyachoka ujue
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe ninayo...sitanii...
Dadako nilicheka jamani[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnisamehe tyuuh, akili zangu zinazijua zenyewe, zinajifyatua na kuji sett automatically, bas ni tafrani tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnisamehe tyuuh, akili zangu zinazijua zenyewe, zinajifyatua na kuji sett automatically, bas ni tafrani tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wala usijali...Saa ngapi Dadako ningecheka...
 
usitoe hukumu kwa muonekano wa njee...siwezi kujisifu ila ninayo dawa ya watu kama wewe ya kuwakausha maji yote...ebu panga muda na saa mimi nikafie kifuani kwako bwana maisha nimeyachoka ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi hujui viagraa na vumbi huwa vinasamba? Wee haya tyuuh
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wala usijali...Saa ngapi Dadako ningecheka...
Ila ile comment nikihadithiwaa huwa najiuliza niliitoa nikuwa na mood gan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sielewagi hadi huwa nahisi km niliandikiwa vile.
 
Ila ile comment nikihadithiwaa huwa najiuliza niliitoa nikuwa na mood gan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sielewagi hadi huwa nahisi km niliandikiwa vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kutupa burudani...
 
Back
Top Bottom