Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Bora uliondoka kwenye wembamba sana.Mkuu pwani tunatafuta ugali tu..
Kaskazini ndio tunapotokea.
Kipindi niko kijana mdogo kabisa na mwembamba sana,
Nilikua nafanishwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uliondoka kwenye wembamba sana.Mkuu pwani tunatafuta ugali tu..
Kaskazini ndio tunapotokea.
Kipindi niko kijana mdogo kabisa na mwembamba sana,
Nilikua nafanishwa sana.
Mzee nipe hilo eneo kwa mkopo nilime matikiti
Mashalah!
Tunasubiri yako,usiwe mchoyo banaAbeeee!
Nini? Mbn unacheka hivyo mjukuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Gazunyaa... 😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nalyahelagha lolo helhelo nohlo byiya
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ngoja niisake niweke, maana wengine kupiga picha ni mtihani.Tunasubiri yako,usiwe mchoyo bana
Ilagala ile ile ya kigoma?,mimi ndio kwetu hukoSimba ya kiume Kutoka pande za ilagala [emoji38]
ngoja sasa tufukue zile nyuzi zako za uhaini
[emoji16][emoji16]Mashalah!
Jina linasadifu muonekano wako
Mimi nina dharura, ndio maana nikataka radhi kwanza.Sasa wewe huweki zako ya kwangu utaionaje Elli?
Haifai namna hiyo...
Eeh mtoto paja bhana, [emoji39][emoji39][emoji39] sio unakutana na mwanamke anapaja limekauka kama upawa wa kupikia ubwabwa wa msiba.View attachment 2179075
Mimi huyo jamani
Humu ndani tunatukanana na wajukuu zetu kabisa ..Hujambo kijana?View attachment 2178925mimi mwenyewe
[emoji16][emoji16] mpe Hi sanaNilimfikishia ujumbe,hakika amefrahi
Mkuu hata mimi nimeshangaa,kumbe humu tuko na ndugu zetuu.ilagala ndio kwetuDuh..Ilagala Kigoma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hii fasheni ya sarawili zenye selebreshen a.k.a marinda imerudi lini?