Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Unatafuta umaarufu wa kijinga mahali hapa? Unahisi imewekwa ili uielewe? Why don't you shut up?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa usipanick nawee, relaaaaaax
Au bas sorry, sirudii tena.
 
Sikujua kama upo unanyapia nisingetuma picha sema huyo jamaa pia sio mimi

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kheeeh kwan mie ndo nafanyaje sasa? Natafuna picha au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kikubwa umetuma, iwe yako sjui ya rafiki ako sisi hatujar wala nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbna km hauko sawa? Yaan km umetoka kulia inakataa, unalazimishwa kucheka inagoma, km una stress vile inakuja kwa mbalii, vipi tatizo nn? Umeachwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Futa hii leta nyingne, sijaielewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] hii kichwa yako sijui kama ni nzima
 
Back
Top Bottom