Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Mkuu tunasubir ya kwako.Kaone kaongo kama nini[emoji51][emoji51]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tunasubir ya kwako.Kaone kaongo kama nini[emoji51][emoji51]
Si ukweli lakiniPhaller wewe nimecheeeka
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Si ukweli lakini
Ndio...ana nini kwani jamani ?? tunafanana pigo ndio[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ebitoke huyuhuyu anayekwenda upande au?
Tupia hata mguu tuNdio...ana nini kwani jamani ?? tunafanana pigo ndio
[emoji23][emoji23] nitatupia mida ya wangaTupia hata mguu tu
Sio tabia njema,mnasubiri mpaka tulale?[emoji23][emoji23] nitatupia mida ya wanga
Wewe ndy Yule uliyeji-wish happy birthday kule Twitter?..hii ndy picha iliyowekwa na Yule jamaa
Safi sn mkuuNahisi jina ndio linawachanganya Mwenye hili jina huyu hapa[emoji116][emoji116]View attachment 2179328
Mimi napenda tu kulitumia
View attachment 2179344
Duuh mrembo una mguu mtamu sana
Asante sn kijana wangu[emoji120]Kama ni kweli!
Heshima yako mzee wangu
Natamani niseme,ila acha ninyamaze
Dah sina bahati na Karucee asee..Ila mwambie nampenda sn..Rangi yangu anaijua vizuri snKama hauna rangi kama ile ya sabaya kaa tu pembeni [emoji16]
Mambo ndio hayo sasa[emoji122][emoji122][emoji122]
Sijaonaga binti mjanjamjanja jf kama wewe[emoji16][emoji16]Mambo ndio hayo sasa[emoji122][emoji122][emoji122]
Jamani jamani, ujanja wangu nini sasa?Sijaonaga binti mjanjamjanja jf kama wewe[emoji16][emoji16]
Mkuu mbona umenuna sana
Nakuonaga ukifanya ile inaitwa...walete walete hadi wanajaa wavuni[emoji28]Jamani jamani, ujanja wangu nini sasa?
ThnxDuuh mrembo una mguu mtamu sana
[emoji16][emoji16]Natamani niseme,ila acha ninyamaze