Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooo, afu vingunguti penyewe sipajui jomoneee.
Usnambie upajui jaman wakati unakijua mpaka kitabu king'amuzi ila sishangai hata mm vingunguti sipajui pia [emoji23][emoji23][emoji124][emoji124]
 
Uwiiiiiiiiiih nimezipenda mnoooo. [emoji4][emoji4][emoji8][emoji8]
Zinavutia[emoji8]
FB_IMG_16462861921079984.jpg
 
Usnambie upajui jaman wakati unakijua mpaka kitabu king'amuzi ila sishangai hata mm vingunguti sipajui pia [emoji23][emoji23][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau na ile ngozi ya pembeni mwa utumbo inafaa kutiwa kwa chainizi wee, hatateee sana.

Vingunguti sipajui
 
Back
Top Bottom