cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sikumbuki, ila ni jana alasiri. Panda juu.Page number ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumbuki, ila ni jana alasiri. Panda juu.Page number ngap?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan sasa?Kupitia huu uzi zipo ID kuanzia leo nitafanya nazo argument kwa akili sana unless nikubali kupoteza battle wao wabaki na point tatu.
Bado naendelea kuperuzi.
Hio sio shughuli ndogo,Sikumbuki, ila ni jana alasiri. Panda juu.
Okey....Shukrani...Yes,upande mmoja.
Duuuh hapo sasa kazi ipo. [emoji23][emoji23][emoji23]Hio sio shughuli ndogo,
Uzi unatembea vibaya mno.
Yah!nimejitahidi kuacha,ila naona humu kufuta ni desturiOkey....Shukrani...
Halafu picha unafuta wewe?
Labda nikutupie pm[emoji4][emoji4]Tupia nawe[emoji23]
Kama zipo vizuri..Yah!nimejitahidi kuacha,ila naona humu kufuta ni desturi
Ukikagua nyingi bado zipo,nadhani nimefuta mbili tu.
Ya kwako iko wapi?
Huyu ni wa Simbo [emoji23][emoji23]Simba ya kiume Kutoka pande za ilagala [emoji38]
Shida mnaweka wakati ambao tunakua hatupo majukwaani,tukirudi zinakua zishafutwa.Kama zipo vizuri..
Ninachopenda picha inawekwa clear kabisa...
Yangu/zangu zinakuja.Ile mida mida...si unajua?[emoji28]
Tulia hapa hapa...usiondoke..
He he he...hiyo ndiyo mida ya Wakubwa sasa....Shida mnaweka wakati ambao tunakua hatupo majukwaani,tukirudi zinakua zishafutwa.
Makiwedo hebu weka tu,halafu utafuta.He he he...hiyo ndiyo mida ya Wakubwa sasa....
Jana mambo yalikuwa mambo hapa...
Soo wewe bali Cocastic niliku tag tu ufurahi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Unanichokoza eeeee?
Yaaani katika wote umeniona mimi tu siyo?
Sijapendaaaaa...
Tulia kidogo...Makiwedo hebu weka tu,halafu utafuta.
Niko hapa nasubiri nikuone.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kichakoro cha kahawani wewe[emoji28]Soo wewe bali Cocastic niliku tag tu ufurahi
Mkuu mbona huyu jamaa ni rafiki yangu kitambo