Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Sasa demu gan wa JF awe na shobo nawee? hapa sio FB.
Huna viwango hata vya kuwatongoza, msieeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akikujibu nitag…
Ukimkuta anajimwambafy kwenye threads za watu huwezi amini kama ndio huyo kheeee…
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] kumbe unanifuatilia kwa ukaribu sana, haya ongeza juhudi ufanikiwe zaidi. Uwiiiiih
Wala sikufuatilii,we si unajikubali jinsi ulivyo? Sasa kwann tusi kusapoti? Au umeanza kutokujikubali siku hizi?
 
Akikujibu nitag…
Ukimkuta anajimwambafy kwenye threads za watu huwezi amini kama ndio huyo kheeee…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] yaan hata hafanan kabisaa, msieeew zake.
 
Wala sikufuatilii,we si unajikubali jinsi ulivyo? Sasa kwann tusi kusapoti? Au umeanza kutokujikubali siku hizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka na mie? Haya pita kila jukwaa na kila uzi, tangaza kuwa cocastic ni Shoga. Nakupa ruksa sasa tena rasmi, ili usipate tabu kudakia ktk comments za watu.

Hahahahah poleeeeeeh, hizo sio shida zangu. Mambo pambeeeeeeeeeeh
Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh.
 
Back
Top Bottom