Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tupo hapa dada zenu [emoji41]
IMG_1752.jpg
 
Mbn cocastic ni mtoto mkali tu,tena mtoto anawaka,mweupe vibaya mno

Hii dhana iliyojengeka hapa jf kwamba huyu bibie ni shoga imetokana na nini??

Km isingekuwa ni Sheria za jf ningekuwekea picha zake hapa umwone jinsi alivyo mkali

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dr wee nae, kwann unajipa kazi hivyo?
Mbna mie mwenyewe niko mkavuuuu hata sishituki yaan, wee achana nae huyo.
 
Nyie watu mkuje hapa mtume picha zenu, woiiiiiiiih, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom