Kuna tofauti kati ya kujipiga picha daraja la manzesa na kupiga picha daraja la manzesa ,hata ubungo flyover sasa wasipo piga picha tutatumia nini hata hapa jfMpaka leo bado kuna watu wanapiga picha!? [emoji74][emoji74][emoji74]
mimi sio mkazi wa Manzese lakini nimepiga picha zaidi ya mara moja pale lakini walivyoweka mabango tu nikakacha ile view nzuri ikasepa, kupiga picha sio ushamba bali ni kumbukumbu ndio maana wengine tunapiga picha beach na sehemu nyinginezo bila kuonekane washamba.