matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi fulani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu.
Ila kwa haraka nikatafuta anayetoa mbadala kuwa alipaswa afanye nini ambacho hajafanya kwenye maamuzi hayo sijaona.
Sasa unadhani amekosea nini na alipaswa kufanya nini ili tuungane kupinga na kushangaa maamuzi.
Au ni kelele tu za mitandaoni maana siku hizi ni kama Sifa au ujiko hivi kupinga kila anachofanya Mkuu.
Ila kwa haraka nikatafuta anayetoa mbadala kuwa alipaswa afanye nini ambacho hajafanya kwenye maamuzi hayo sijaona.
Sasa unadhani amekosea nini na alipaswa kufanya nini ili tuungane kupinga na kushangaa maamuzi.
Au ni kelele tu za mitandaoni maana siku hizi ni kama Sifa au ujiko hivi kupinga kila anachofanya Mkuu.