omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,591
Abadilishaje?,fungukaAliache kama lilivyo ila abadilishe mfumo wa uongozi kama anahisi kuna harufu ya upigaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abadilishaje?,fungukaAliache kama lilivyo ila abadilishe mfumo wa uongozi kama anahisi kuna harufu ya upigaji
Sawa tu kilichofanyika.Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekeecha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu...
Kwanza sentensi yako ya mwisho inaonyesha kwamba huhitaji maoni bali unashangaa wanaopinga yanayofanywa na viongozi wa chama chako. Ukihitaji maoni subiri wakupe maoni na siyo kuwaambia kwamba watu wanawapigia makelele viongozi wako.Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu..
Swali lako la "angefanyeje tofauti na alivyofanya" halina maana wala mantiki...Hii itakuwa na Faida gani ukilinganisha na hicho alichokifanya.
Maana lazima tujue
Tunauzoefu naye huwa anafanya mambo kwa kukurupuka si umeona mlivyohamia dodoma., kule wenzetu huweka plan kwanza na kuangalia challenges/benefits hapa ni ukiamka tu asubuhi ilala itakuwa jiji kuanzia sasa badala ya manispaa.Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu...
Kweli huyu ni mvurugaji tu hakuna lingine. Kwanza nashangaa anaingilia mamlaka ya serikali za Mitaa ambayo kwa kweli inapaswa kuwa chini ya TAMISEMI ndani ya ofisi ya waziri Mkuu. Yeye yupo Serikali kuu na ndio Mamlaka yake.Nilichoelewa mimi ni kuwa huyu kaja kuvuruga kila kitu kavuruga mahusiano ya nchi yetu na nchi nyingine ,kavuruga biashara , kavuruga mfumo wa elimu , kavuruga ajira. Na sasa kaamia huku . tuendelee kumuombea tu amalize shughuri yake basi .
Kwa lugha rahisi, Jiwe ni Kivuruge.Nilichoelewa mimi ni kuwa huyu kaja kuvuruga kila kitu kavuruga mahusiano ya nchi yetu na nchi nyingine ,kavuruga biashara , kavuruga mfumo wa elimu , kavuruga ajira. Na sasa kaamia huku . tuendelee kumuombea tu amalize shughuri yake basi .
Hata mie bandugu sielewi kitu. Sielewi faida na hasara ya hatua hii. Kuvunja H/mashauri ya jiji na kuunda H/mashauri ya Ilala.Ndio maana nauliza. Sielewi kabisa Mkuu.
Hongera kwa kunigundua MAPEMA.
Fafanua kwa Faida yangu na wasioelewa wenzangu.
Vuruuuuuuuu. It leaves much to be desired and very many unanswered questions.Mimi ni "layman" tu ila nafikiri hivi
1) Hakuna eneo lolote la utawala linaloitwa "Dar es Salaam", as such, Manispaa ya Jiji la Dar es Salaam ilikuwa kama hewa...
Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu....
Kwa kuwa tatizo la Meko ni gharama za Jiji la DAR ambalo halina ardhi, miradi wala mapato, napendekeza angefanya yafuatayo:Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu...
Kwa kuwa tatizo la Meko ni gharama za Jiji la DAR ambalo halina ardhi, miradi wala mapato, napendekeza angefanya yafuatayo:Wakuu Mimi chombo changu kikuu na pekee cha habari ni mitandao ya kijamii. Sio gazeti, radio wala TV. Kwa sababu huku napata habari isiyoghoshiwa (Censored) kwa kiasi flani. Sasa nimepotea kidogo tu nakutana na malalamiko mengi sana kuhusu Ilala kuwa jiji, kuhusu maamuzi aliyofanya Mkuu wetu...