Tunaosafiri leo kwenda Kigali tabia zetu za wizi, kukojoa, kuvuta bange na 'kuukweka' hovyo tuziache Dar es Salaam

Tunaosafiri leo kwenda Kigali tabia zetu za wizi, kukojoa, kuvuta bange na 'kuukweka' hovyo tuziache Dar es Salaam

Tunajuana na ndiyo maana nimeamua kutoa tahadhari mapema nikiamini wanaoenda Ndola Zambia ni Wastaarabu mno.

Kuukweka ni Kujisaidia Haja Kubwa. Ni Lugha ya Wazaramo hiyo na Mimi GENTAMYCINE ni Mzaramo Mzanaki Mmakuwa.
Waambie huo ni ukweli na wahakikishe kila mtu ndani ya gari apewe hayo maonyo au makatazo ya msingi sana, na Fujo za hovyo. Walimbikizo waje wafanye vibes za hovyo wakivuka boda
 
wewe mbilikimo una shida gani?
JamiiForums2100414494.jpg
 
Tunajuana na ndiyo maana nimeamua kutoa tahadhari mapema nikiamini wanaoenda Ndola Zambia ni Wastaarabu mno.

Kuukweka ni Kujisaidia Haja Kubwa. Ni Lugha ya Wazaramo hiyo na Mimi GENTAMYCINE ni Mzaramo Mzanaki Mmakuwa.
yanga huiwezi
 
Back
Top Bottom