Tunaoshindwa, waliolishindwa na wasioweza kuacha kubet (mpira) au kucheza dubwi la Mchina au vyote (kamali) tujuane

Tunaoshindwa, waliolishindwa na wasioweza kuacha kubet (mpira) au kucheza dubwi la Mchina au vyote (kamali) tujuane

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF

Tuwe wakweli mbele za Mungu, mimi kiukweli napenda sana kubet 1X na 2X kwa mzungu yaani meridianbet online, kwa wiki mara 3 kila nikiwaza kuacha nashindwa.

Kama ni kula nakula kweli ila sasa natamani kuacha kabisa nashindwa kwa sababu winners za betting ndio zinanifanya niwe na pesa za kula mbususu, hizi za mishe mishe na biashara sizigusi kabisa, maana ziko calculated.

Ebu tuzumgumze wadau na tuseme kama dawa ipo hasa kwa mtu kama mimi ambae pesa za mikeka zinafanya Nile sana mbususu za udom, Mipango, CBE, ST John.

Naachaje kwa mfano na kwa njia ipi na kuhusu mbususu itakuwaje nianze kuziita pisi hello Aunt.

Naombeni ushauri au nihamie mazima kwenye mega tu?

Walevi wa Dubwi ndio usipime kama wala unga hata nauli wanakosa.

Huuuuuwiii bhaghosha 🤣🤣🤣

Yesu mwana wa Maria shuka uokoe Taifa la Tanzania

Karibuni

Wadiz.
 
Nimeacha kamari zote isipokua betting ya mpira wa miguu. Bonanza la mchina sichezi tena ila lilinipiga sana na kuacha ilikua ngumu namshukuru Mungu nimeliacha. Kuna mzee limeshamfilisi duka, kauza na gari naona kinachofuata ni nyumba maana ndio limemkolea kweli kweli kutwa nzima kazi yake ni kucheza bonanza. Nikimcheki namuonea huruma maana kaanza kucheza mwezi wa 11 mwaka jana
 
Nimeacha kamari zote isipokua betting ya mpira wa miguu. Bonanza la mchina sichezi tena ila lilinipiga sana na kuacha ilikua ngumu namshukuru Mungu nimeliacha. Kuna mzee limeshamfilisi duka, kauza na gari naona kinachofuata ni nyumba maana ndio limemkolea kweli kweli kutwa nzima kazi yake ni kucheza bonanza. Nikimcheki namuonea huruma maana kaanza kucheza mwezi wa 11 mwaka jana
Hio ni kama Kantangaze ukianza kubet kufahamika ni kama jua na mvua
 
Ina mapepo kutegemea na spending kuna Ile kujimaliza kutaka kurejesha hio kama Kantangaze
Tamaa mbaya cheza kistaarabu mbona madhara hutoyaona, tatizo tunataka tule milioni 50 kwa 500
 
Back
Top Bottom