DY bado magari kama elfu 20 hivi hadi iishe na ushuru umekuwa mkubwa na russia kakiwakisha itachelewa. DZ yenyewe ina magari 23,400 hadi iishe ndo ije namba E. Dawa ni kununua namba binafsi weka jina lako then ikitoka E hamia.Namba D is here to stay kwa kweli. Natabiri inaweza kufika 2023 na bado DZ inawa mezani [emoji1]
Hizo namba A & B Ndiyo nazitafutaNdio maana tunasubiri itoke namba D zishuke bei ili tuachane na namba A
Mzee wa magari ya m2,3 yaliyojaa putiHizo namba A & B Ndiyo nazitafuta
Wazee wa kusubiri EA ndio mmliliki magari nadhani mwaka huu sahauni tu....
Next year ndio mtaanza na EAA
Mzee wa magari ya m2,3 yaliyojaa puti
Sasa awekese 22m aje apate faida ya 3m mmmmh huoni hapo faida kidogo Ila anategemea mzungukoHizi gari za Jan Japan ndo ambazo nyingi ziko kwenye Yards za kinondoni ila tofauti ni kuwa zikifika kule wanachakachua na kale kamtambo kao!
Similar car ya 212,000kms kwa ODO inapigwa 56,210kms ukiiona na ule upya upya ukiambiwa lipia 25M unalipa kwa gari ambayo jamaa kaifikisha mjini kwa 22M.
Wanapata faida sana hao jamaa..
Hata unapoweka no binafs bado no ya kawaida inakuwepo mdau. Sema unabadilishiwa plate no tuDY bado magari kama elfu 20 hivi hadi iishe na ushuru umekuwa mkubwa na russia kakiwakisha itachelewa. DZ yenyewe ina magari 23,400 hadi iishe ndo ije namba E. Dawa ni kununua namba binafsi weka jina lako then ikitoka E hamia.
Ila waTZ wakiamua jambo lao hawashindwi. Ile speed ya watu kununua magari Oct-Dec 2021 si tunaikumbuka lakini?Tutarudi kukumbusha this year E lazima iwe road
Pikipiki tu zishafika D na zinatembea balaa huenda zikaamaliza E kabla ya magariπSababu ya kuondoa pikipiki na bajaji kwenye usajili wa T kwenda MC
Haelewi huyo!Japokuwa hujaniuliza mimi ila nakwambia ukweli registration series ya magari ni factor kubwa katika kuporomoka kwa bei ya gari husika. Tulio kwenye industry tunajua
Mkuu kwa taarifa tu tunamaliza DYQ ndani ya siku chache! Kila herufi ni wastani wa week 2 na siku inakuwa ishakata.Inaanza DYA 101, DYA 102, hadi ifike DYA 999
Then ije DYB 101 had DYB 999
Halafu DYC 101 hadi DYC 999
Kwa mlolongo huo paka uje
Upate namba ya mwisho ya DYZ 999
Ndo uanza na DZA 101
We unafikiri zile gari wanapata faida ya 50/50 mkuu? Una idea kweli na biashara ya magari mkuu?Sasa awekese 22m aje apate faida ya 3m mmmmh huoni hapo faida kidogo Ila anategemea mzunguko
Hahahaha haifiki huko wewe, trust me mwezi wa 6 tu utarejea hapa kukanusha kauli yakoNamba D is here to stay kwa kweli. Natabiri inaweza kufika 2023 na bado DZ inawa mezani π
Mkuu, DZA hadi DZZ umeziacha wapi? Au hiyo utazinunua wewe?Mkuu kwa taarifa tu tunamaliza DYQ ndani ya siku chache! Kila herufi ni wastani wa week 2 na siku inakuwa ishakata.
Zinafata R,S,T,U,V,W,X,Y,Z maximum projection ukifika mwezi wa 6 namba E itakuwa ishaanza kutembea barabarani!
Kumbuka gari kuna mabasi, Coaster na malori ambayo matajiri hawaagizagi moja moja. Hayo yanakujaga kwa makumi na mamia. Achilia gari binafsi ambazo watu huingiza na kusajili daily.
Mkuu fata series ya herufi nimeishia Z hapoMkuu, DZA hadi DZZ umeziacha wapi? Au hiyo utazinunua wewe?