Asante Boss.Toa I na O mzeee hazitumiki
Sio negligible...Asante Boss.
Nimehariri lakini athari kwenye hesabu ya msingi bado ni Negligible.
Nimekuelewa mkuuYeah? Inaweza kuwa kweli Ila kwa bei za magari saivi hakuna anayeweza kuuza IST DYZ kwa 5m kisa tu imeanza EAA. I'm ready to put my money on it.
Nimeshangaa jamaa kataka IST DPZ kwa 11.5 tena kwa kuomba kabisa...haya magari yalikuwa 7-8-9m juzi tu. Mlioko kwenye industry tuambieni nini shida.
Yah mana naona kabisa DZA ikiwah basi July au August ka nilivosena...Kwa mwezi hatutoboi gari 1000 upo serious kweli? Kwa wastani kila week 2 herufi inahama!
Yani hio DYR iko na gari 400+ na haijafunga week 2 means imeanza February mwishoni hapo mpaka kufikia tarehe 15 itakuwa ishaisha DYS imeanza!
Mpaka mwisho wa mwezi wa 4 inahamia DYT. Kufikia 15 April tutakuwa DYU.
Mwisho wa April tunaanza DYV mpaka 15 May ishahamia DYW.
Mwisho wa May ni DYX mpaka katikati ya June ni DYY.
End of June ni DYZ mpaka mids of July tunaanza DZZ.
Mkuu nimekubali kweli hatuingii namba E mwaka huu...Kwa wastani wa herufi mbili kila mwezi hatutoboi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Projection za mtoa maada. Noma sana.Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Sawa.Sio negligible...
Umetoa gari zaidi ya 1,700.
Sahihi kabisa mkuuHaelewi huyo!
Ngoja wazee wa Mlimani city waingie mchezoni mwa namba “E” ukipeleka gari hata iwe bado kinanda utaskia hii gari tatizo “D” number mkuu! Hii tukupe million 7 tu!
Yani hamna mtu atakuwa na interest na gari yenye namba “D” tena. Zitaporomoka bei vibaya mno hasa “D” za mwanzo zile! Bora hawa wa DZ wanaweza kuuza uza maana E ikishika kasi watu “D” watakuwa hawaitaki tena. Wateja wa magari bongo wako interested na number plate zaidi sio ubora wa gari!
Naona watu wanapiga mahesabu ili wajue namba E inatoka lini kwa mashaka kwamba gari za D zitashuka bei. Namba zitakuja zitaondoka gari zitabaki, sasa mtu anaogopa kununua gari kisa namba? Yani ukae bila gari na una matumizi nayo kisa unasubiri namba kweli
Tatizo lao ubishi, hivi gari mbili zenye hali sawa, moja ni T 999 CZZ nyingine ni T 101 DAA ukiziweka sokoni utauza bei sawa? Hawajui namba ilivyo na impact kwenye kuuza gari.Wewe jidanganye tu na hio Dualis yako DYZ!
Hata ukiifungia kabatini usitembelee mpaka wa number E akisajili jua tu hutauza bei sawa na wa E!
Atakaesajili Dualis kwa namba EAB akiiweka sokoni tu na wewe ukaweka DYZ yako sokoni at the same week kama bei ya EAB itakuwa 17M wewe wa DYZ lazma utauza chini tu tena unaweza shangaa wewe ikakata hata million 4-5 toka kwenye bei ya mpya. Ukashangaa yako unauza 13M ila ina upya ule ule wa EAB.
Hajui soko la magari bongo linavyoathiriwa na number plate.Kwa hiyo mkuu gari mbili zilizotunzwa saqa
Tatizo lao ubishi, hivi gari mbili zenye hali sawa, moja ni T 999 CZZ nyingine ni T 101 DAA ukiziweka sokoni utauza bei sawa? Hawajui namba ilivyo na impact kwenye kuuza gari.
Anauza gari nyingi we unaona faida ndogo hio?Sasa awekese 22m aje apate faida ya 3m mmmmh huoni hapo faida kidogo Ila anategemea mzunguko
Wana wivu hao jamaa😅...Kwamba mtu atauza IST yake DXY 5M kisa EAA ipo barabarani? [emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu bei za magari zinapanda sijui shida ni nini...
Halafu sio kwa ban hizo unazokula kila siku.
DY haiwezi kuisha march, t,u,v,w,x,y,z...labda mwezi wa tano huko.View attachment 2144090
View attachment 2144091
DYS
Kuna DYT nimeiona leo Asubuhi nikasahu kupiga picha...
Kufika March 31, tunamaliza DY...
DZ inaanza April mpaka june au july katikati inakwisha tunaanza E
Not really, mkuu! Labda utembee na chasis number. Utaikuta DYU hivii au DYX 😀😀Ndinga yangu naamini itasajiliwa na namba E ikifika natembelea chassis mpaka namba E ianze ndo nasajili plateView attachment 2144602
DY haiwezi kuisha march, t,u,v,w,x,y,z...labda mwezi wa tano huko.
Kwamba DYZ itakata mwezi huu mkuu? Naweka 5k katika hili.DY inakata mwezi huu mkuu....
Kila herufi inaenda siku 3, yani kutoka DYT kwenda DYU ni siku 3 inasogea DYV
Kwamba DYZ itakata mwezi huu mkuu? Naweka 5k katika hili.