Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Hii namba ya gari inakuwaje?
Screenshot_20220307-151501.png
 
Yeah? Inaweza kuwa kweli Ila kwa bei za magari saivi hakuna anayeweza kuuza IST DYZ kwa 5m kisa tu imeanza EAA. I'm ready to put my money on it.

Nimeshangaa jamaa kataka IST DPZ kwa 11.5 tena kwa kuomba kabisa...haya magari yalikuwa 7-8-9m juzi tu. Mlioko kwenye industry tuambieni nini shida.
Nimekuelewa mkuu
Kikubwa tu utambue sio magari yote used yamepanda bei, yapo yaliyopanda na kushuka with the same reg numbers and conditions, kupanda au kushuka kwa gari inategemea na mapokeo ya jamii husika. Mfano ist zimetoka 7 au 8 za mkononi ila now hupati kwa bei hiyo. Ukija kwenye brevis wakati zinatoka ilikuwa kwa mtu unapata kwa 9 mpaka 8 ila saizi bei ni 5 tena kwa kuhangaika. Kwa hiyo bado factors zinainfluence bei za magari.
 
Kwa mwezi hatutoboi gari 1000 upo serious kweli? Kwa wastani kila week 2 herufi inahama!

Yani hio DYR iko na gari 400+ na haijafunga week 2 means imeanza February mwishoni hapo mpaka kufikia tarehe 15 itakuwa ishaisha DYS imeanza!

Mpaka mwisho wa mwezi wa 4 inahamia DYT. Kufikia 15 April tutakuwa DYU.

Mwisho wa April tunaanza DYV mpaka 15 May ishahamia DYW.

Mwisho wa May ni DYX mpaka katikati ya June ni DYY.

End of June ni DYZ mpaka mids of July tunaanza DZZ.

Mkuu nimekubali kweli hatuingii namba E mwaka huu...Kwa wastani wa herufi mbili kila mwezi hatutoboi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yah mana naona kabisa DZA ikiwah basi July au August ka nilivosena...


Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...

Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.

View attachment 1888026


Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..

Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]

Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...

Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Projection za mtoa maada. Noma sana.
 
Sio negligible...

Umetoa gari zaidi ya 1,700.
Sawa.

Kwa mwezi herufi zimekuwa 5.1 badala ya 5.7 ya awali (yaani DZA,DZB,DZC,DZD,DZE) tofauti ni 0.5.

Herufi 24 yaani DZA-DZZ imekuwa miezi 4.7 badala ya 4.6 ya awali, tofauti ni 0.1

BOTTOM LINE:

DZA-DZZ (24 Letters) ni wastani wa 4-5 months.

Hata tuweke 6 months bado sawa tu ila hiyo ya kwako ya 12 months hata Kipindi cha COVID-19 haikutokea.

Tuendelee kusubiri herufi E,Mkuu.😁
 
Haelewi huyo!

Ngoja wazee wa Mlimani city waingie mchezoni mwa namba “E” ukipeleka gari hata iwe bado kinanda utaskia hii gari tatizo “D” number mkuu! Hii tukupe million 7 tu!

Yani hamna mtu atakuwa na interest na gari yenye namba “D” tena. Zitaporomoka bei vibaya mno hasa “D” za mwanzo zile! Bora hawa wa DZ wanaweza kuuza uza maana E ikishika kasi watu “D” watakuwa hawaitaki tena. Wateja wa magari bongo wako interested na number plate zaidi sio ubora wa gari!
Sahihi kabisa mkuu
 
Kwa hiyo mkuu gari mbili zilizotunzwa saqa
Naona watu wanapiga mahesabu ili wajue namba E inatoka lini kwa mashaka kwamba gari za D zitashuka bei. Namba zitakuja zitaondoka gari zitabaki, sasa mtu anaogopa kununua gari kisa namba? Yani ukae bila gari na una matumizi nayo kisa unasubiri namba kweli

Wewe jidanganye tu na hio Dualis yako DYZ!
Hata ukiifungia kabatini usitembelee mpaka wa number E akisajili jua tu hutauza bei sawa na wa E!

Atakaesajili Dualis kwa namba EAB akiiweka sokoni tu na wewe ukaweka DYZ yako sokoni at the same week kama bei ya EAB itakuwa 17M wewe wa DYZ lazma utauza chini tu tena unaweza shangaa wewe ikakata hata million 4-5 toka kwenye bei ya mpya. Ukashangaa yako unauza 13M ila ina upya ule ule wa EAB.
Tatizo lao ubishi, hivi gari mbili zenye hali sawa, moja ni T 999 CZZ nyingine ni T 101 DAA ukiziweka sokoni utauza bei sawa? Hawajui namba ilivyo na impact kwenye kuuza gari.
 
Kwa hiyo mkuu gari mbili zilizotunzwa saqa



Tatizo lao ubishi, hivi gari mbili zenye hali sawa, moja ni T 999 CZZ nyingine ni T 101 DAA ukiziweka sokoni utauza bei sawa? Hawajui namba ilivyo na impact kwenye kuuza gari.
Hajui soko la magari bongo linavyoathiriwa na number plate.
 
Kwamba mtu atauza IST yake DXY 5M kisa EAA ipo barabarani? [emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu bei za magari zinapanda sijui shida ni nini...

Halafu sio kwa ban hizo unazokula kila siku.
Wana wivu hao jamaa😅...

IST mtashusha bei tu bila kupenda
 
Back
Top Bottom