General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
-
- #481
S,T,U,W,X,Y,Z
Jidanganye utakutana na D kama kawaNdinga yangu naamini itasajiliwa na namba E ikifika natembelea chassis mpaka namba E ianze ndo nasajili plateView attachment 2144602
Nitatembelea chassis hadi DecemberJidanganye utakutana na D kama kawa
We unawajua trafic wa bongo au? Chasis number utaacha 10 10 daily na namba E mpaka mwakani....Nitatembelea chassis hadi December
Nitatembelea chassis hadi December
Brother utapata tabu sanaaaaNitatembelea chassis hadi December
Au nitaweka namba za SingaporeWe unawajua trafic wa bongo au? Chasis number utaacha 10 10 daily na namba E mpaka mwakani....
Andaa bajeti ya VITS kuwapa traffic...
Hizi number zinatumika visivyo...siku hizi hadi vits,wish, porte, raum inawekwa kibao cha Singapore ..Au nitaweka namba za Singapore
TISSHizi number zinatumika visivyo...siku hizi hadi vits,wish, porte, raum inawekwa kibao cha Singapore ..
Ikipita miezi mitatu haujafanya usajili utalambwa parefu na TRA. Unaweza nunua passo yani kwa hio hela watayokupiga.Au nitaweka namba za Singapore
Kwa mujibu wa sheria au kanuni ipiIkipita miezi mitatu haujafanya usajili utalambwa parefu na TRA. Unaweza nunua passo yani kwa hio hela watayokupiga.
Shetta alipigwa 12m baada ya discovery 3 lake kupitisha miezi mitatu tokea kali-import tokea Sauzi bila kubadili number plate / kufanya registration.
Kwa hio akili mtu wangu
Ipo tyr mbnDYU badoo kitaa?
Mkuu Tupe Updates Bado Unashikilia Msimamo Ule Ule.E haitaanza mwaka huu mark my words
Utafikiri watu wana hela ya kununua magari wanavyokomenti. Mwenye hela hasubiri upuuzi ananunua na ikitoka namba e ananunua tu, ila wasio na hela wako kama watu wa kubeti humu.
Kashalegea itakua😂😂😂😂