Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Inashusha bandariniView attachment 2159081
October hapo EAA mtaaniKama nakubali vile sioni EAA ikingia mwaka huu labda utokee muujiza
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Labda lorry na matrailer 6000 yasajiliwe ghaflaOctober hapo EAA mtaani
Yani una hela zako unatembea kwa mguu kisa unasubiria namba EAA. Bongo hatari sana.Labda lorry na matrailer 6000 yasajiliwe ghafla
Hahaha. Tutaandamana aiseeYani una hela zako unatembea kwa mguu kisa unasubiria namba EAA. Bongo hatari sana.
Ifike mda ghafla mfumo wa namba ubadilishwe kila gari isajiliwe upya kwa namba za mikoa kama South Africa au USA hadi wale wenye namba A wanapata namba mpya ndiyo mtajua hamjui kama ilivyokuwa kutoka kwenye TZA160 kuja T222AAA.
Duh 909 hio ni chap tunasonga na DYT
Ya mchongo ile😅😅😅Juzi nimeona EAA...sasa cjui ndo ishaingia au ile plate no ni ya MCHONGO
Kumbuka huu uzi umeanza August 2021 namba iliwa DWV lakini mpaka leo zimesogea herufi mbilo tu za kati DX na DY takribani miezi 9 zimetumia hazijatoboa DZ...Nilisema DYZ haiishi mwezi huu, yaani kama leo ipo DYW...bado tuna XYZ ndio tumalize DY.., then katikati ya April au mwanzoni mwa may tuanze DZA...
Naunga mkono hakuna namna namba EAA ni 2023 tu aseee....Kumbuka huu uzi umeanza August 2021 namba iliwa DWV lakini mpaka leo zimesogea herufi mbilo tu za kati DX na DY takribani miezi 9 zimetumia hazijatoboa DZ...
EAA ni mwakani mwezi wa 2.....
Testimonial yangu. Nimelipia gari Japan tar 01.01.2022 registration ikiwa DYE hivi almost miezi mitatu baadae tupo DYW.Nilisema DYZ haiishi mwezi huu, yaani kama leo ipo DYW...bado tuna XYZ ndio tumalize DY.., then katikati ya April au mwanzoni mwa may tuanze DZA...
Possibly mkuu!Kumbuka huu uzi umeanza August 2021 namba iliwa DWV lakini mpaka leo zimesogea herufi mbilo tu za kati DX na DY takribani miezi 9 zimetumia hazijatoboa DZ...
EAA ni mwakani mwezi wa 2.....
EA ni mwakani no way out!