van_drakee
Member
- Sep 28, 2018
- 30
- 57
Naona mwezi wa 7 au 8 E tayariSahv imeshafika DZC View attachment 2203667
9.5m
Cc 1999
Haipungui mkuu tumalize biashara??
Ipungue ngap mkuu
Ungenipa namba tuongee ….ingependeza sana mkuu
Ingia pm
Eeh mkuu gari unalo wewe tu😅Sizani kama ana gari
Mkuu hatufiki 2023 mzee amini kwamba! Kwa hii speed tuko DZC sahizi😅😅😅 ina maana soon kufiki June tutakuwa tunaelekea ukingoni kabisa so July inaweza tiki EDZA...899
DZB.....889
C hadi Z ukiondoa I na O unabakiwa herufi 22.
tutumie herufi B.
899*21=18,879
TRA wanasajiri wastani Wa 3000 kila mwezi.
bado miezi 7 kufika E,
itakuwa November huko, lakini uhalisia ni 2023 ndo E unaiona kitaa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umeona mambo yasiwe mengi!!!Eeh mkuu gari unalo wewe tu[emoji28]
Eeh sio swala[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umeona mambo yasiwe mengi!!!
Hoja imepitaMkuu hatufiki 2023 mzee amini kwamba! Kwa hii speed tuko DZC sahizi[emoji28][emoji28][emoji28] ina maana soon kufiki June tutakuwa tunaelekea ukingoni kabisa so July inaweza tiki E
Gari ipo wapi?9.5m
Cc 1999
Gari ipo wapi?
Maake apo kwanza ncheke😅 ina maana mpaka mwisho wa week hii tutakuwa tumeanza DZE namba inatembea kweli yani! D haifiki mwezi wa 8 hapo itakuwa ishakataHii ilikuwa Jumamosi Ila naskia mpaka sasa namba DZD zimefika 400 watu wanasubiri kutoa ndinga zao huko
View attachment 2211278