Hivi magari yanayoshuswa dar ila yanaenda nje ya nchi huwa yanaifadisha vipi serikali kimapato?Mzee wa Insta ficha aibu ndogo ndogo kutaka kutafuniwa kila kitu....View attachment 2219178
Hivi magari yanayoshuswa dar ila yanaenda nje ya nchi huwa yanaifadisha vipi serikali kimapato?
Hoja ya meli kuja dar ni hoja dhaifu sana , meli haibebi magari ya kusajiliwa Tanzania pekee, inabeba gari za nchi nyingi, unaeza kuta hizo gari 3000 plus zinazoshuka tunazajili 500,tu , zingine zikasafirishwa au zinanunuliwa na dealers sometimes bond kwa usajili wa baadayeWewe jamaa hiyo hoja ya magari 16,164 ni kama imeshakukaa sana kichwani!😁.
Siyo mengi kama unavyofikiria wewe.
Kuna meli 4 za magari zinatia nanga mwezi May pale Dar port.👇
Port of Dar es Salaam (Tanzania) - Arrivals, Departures, Expected vessels - VesselFinder
Port of Dar es Salaam (Tanzania) - Real-time data for recent ship arrivals and departures, ships in port and scheduled vessel arrivals. Weather information and forecasts for the next 7 days.www.vesselfinder.com
Hivi ninavyoandika leo 10th May kuna meli mbili za magari zipo hapo Dar port.
1 gari yoyote lazima ilipe port chages , serikali inakunja mkwanjaHivi magari yanayoshuswa dar ila yanaenda nje ya nchi huwa yanaifadisha vipi serikali kimapato?
Bado sana , twaeza fika november , E ni herufi ya tano tu kati ya 24 zinazotumika,( I na O hazitumiki)July EAA [emoji736]
Jamaa akiona meli imeshusha anajua ndinga zote zinaingia barabarani bongo ASAP....Hoja ya meli kuja dar ni hoja dhaifu sana , meli haibebi mavari ya kusajiliwa Tanzania pekee, inabeba gari za nchi nyingi, unaeza kuta hizo gari 3000 plus zinazoshuka tunazajili 500,tu , zingine zikasafirishwa au zinanunuliwa na dealers sometimes bond kwa usajili wa baadaye
Mkuu...port charges,wharfage etc. Magari 4000 yatahitaji madereva wa kupeleka yanapoenda(short term ajira), huwa wanayafanyia service hapa hapa kabla hayajaondoka, wanananunua triangle,fire extinguishers etc, wataweka mafuta, yaani kuna faida nyingi direct and indirect.Hivi magari yanayoshuswa dar ila yanaenda nje ya nchi huwa yanaifadisha vipi serikali kimapato?
Kwa mwezi Tz tunasajili magari kama 3,000 tu bado tuko nyuma sana.Hoja ya meli kuja dar ni hoja dhaifu sana , meli haibebi mavari ya kusajiliwa Tanzania pekee, inabeba gari za nchi nyingi, unaeza kuta hizo gari 3000 plus zinazoshuka tunazajili 500,tu , zingine zikasafirishwa au zinanunuliwa na dealers sometimes bond kwa usajili wa baadaye
Nimesema magari yanayoenda nchi jirani.Kwani mkuu ukitoa gari lako bandarini serikali inanufaika vipi
Asante kwa majibu.1 gari yoyite lazima ilipe port chages , serikali inakunja mkwanja
2 Wharfages, bandari lazima ikunje pesa yake
3 Roadtoll hapa tanroad wanakula chao mapema
4, Agency fees , watanzania wenzetu wanapata ajira
So on and so, kiufupi hata meli ije na gari za nje tupu bado serkali inapata mpunga ,
Asante mkuu kwa majibu.Mkuu...port charges,wharfage etc. Magari 4000 yatahitaji madereva wa kupeleka yanapoenda(short term ajira), huwa wanayafanyia service hapa hapa kabla hayajaondoka, wanananunua triangle,fire extinguishers etc, wataweka mafuta, yaani kuna faida nyingi direct and indirect.
Mwaka huu unaweza isha na D.Bado sana , twaeza fika november , E ni herufi ya tano tu kati ya 24 zinazotumika,( I na O hazitumiki)
Kila herufi inasajili magari 900, kama Tra wanasajili gari 3000 kwa mwezi , maana yakw kwa mwezi hardly tunatumia herudi nne, kutoka E hadi Z manaake kuna heerufi 18 , ukigawanya kwa 4 maana yake tutatumia miezi 4 kutoka sasa kufika DZX , na bado tutatumia nusu mwezi kumalizia DYZ na DZZ, hii ni kadirio la chini kabisa na kama kasi hiyo ya kusajili itaendelea , ikitokea imeshuka tunamaliza mwaka huu na D
Ukizidisha kwa magari 3,000+ kwa meli moja ni hela nyingiAsante mkuu kwa majibu.
Nilikuwa nafahamu port charges na hizo nyingine.
Hiyo ya wharfage ndo nilikuwa sifahamu.
Ni swala la muda tu , yatapita. Beira ilikuwa inakuja kuipiku Dar port, ila Mozambique wana kiranga ncha machafuko plus language barrier, hata hao wakongo walioanza kuitumia wameingiwa na uoga sasa wamerudi Dar,Asante kwa majibu.
Pia hata ajira za vijana kuyasafirisha kuyapeleka huko.
Basi tupambane hata magari ya EAC na SADC yote yapitie Dar.
Hazitumiki toka walipoanza TZA!!!Mkuu you mean hizi herufi I na O hazitumiki kabisa katika magari? mfano ikifika DZI itarukwa?