Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Kuna mtu amesajili 999DZE
Wananchi wana hasira
Screenshot_20220513-184043_WhatsApp.jpg
 
Kwa taarifa tu,

Hata mwezi haujaisha toka tuingie DZA leo tuko T 600 DZD+

Bado tuna week nzima kuhitimisha mwezi toka DZA ianze.
zimetembea herufi 5 ndani ya mwezi yani dah😅 sababu jana nimeona audi DZE imepaki kitaa😅
 
Ngoja nikupe mfano hai labda utaelewa uhalisia ulivyo.

Mimi nilisajili gari yangu 1_th September 2021 namba DXE.

Leo hii tupo 10th May 2022 na namba ni DZE.

TOKA September 2021 hadi leo May 2022 ni miezi tisa (9).

Kwa hiyo miezi 9 pekee tumesajili DXE-DXZ,DYA-DYZ na sasa DZA-DZE.

Hiyo miezi 8 ya DZF-DZZ wewe sijui unaitoa kwenye rejea ipi?
Ukipiga kwa wastani wa herufi 5 kila mwezi maana hizo herufi 18 ni mwezi wa 6-9 zimeisha tunaanza E! Hii ndio logic inayo make sense wala sio kuhesabu idadi ya magari.
 
Kama DZA iliingia around 16 April na sasa May katikati tushafika DZF, maanake August mapema tunaingia no. EAA.
 
Back
Top Bottom