Uzuri wa EAA ni nini yani?! Au mnasumbuliwa na ugeni wa vyombo vya motoSubiri Mkuu usajili EAA iko vizuri sana tofauti na Z..., mwezi wa 9 siyo mbali twaweza ingia EAA.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hujui kitu kaa kimyaUzuri wa EAA ni nini yani?! Au mnasumbuliwa na ugeni wa vyombo vya moto
Ni nzuri kibiashara na sisi wenye pesa za kuunga unga (status), tuu.Subiri Mkuu usajili EAA iko vizuri sana tofauti na Z..., mwezi wa 9 siyo mbali twaweza ingia EAA.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hizi ni zile gari 3000 zilizoshushwa mwezi uliopita na ile meli kubwa. So ni kama moto wa kifuu tu zitaanza kukwamia kwenye DZF. Zikifika F tunarudi kwenye trend ya herufi kukaa mwezi mzima.
Sawa mangi tuvute muda.View attachment 2231687Zinakwamia wapi ulisema?[emoji16]!
Tu-bet hii DZG ikikaa mwezi mzima nakutumia 100K!
Tutarudi kwenye hii comment on 20Th June 2022.
Ewe kuwa nanidhamu gari yanhu ya kwanza nimemiliki 2000... Ulikuwa wapi?!Hujui kitu kaa kimya
Nina ndugu angu alivuta ist mwezi wa pili ilikuwa DYF. So DZZ mapema tuMpaka ije ifike DZZ 999 mwakani mkuu
Kama ana shughuli nayo asubiri namba huyo hatakuwa serious na maisha. Ma jobless ndo wanasubiri namba za gari zao za ndotoni [emoji23]Subiri Mkuu usajili EAA iko vizuri sana tofauti na Z..., mwezi wa 9 siyo mbali twaweza ingia EAA.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Kwa speed hii hapo mwezi July unaweza kuisha na dzzSubiri Mkuu usajili EAA iko vizuri sana tofauti na Z..., mwezi wa 9 siyo mbali twaweza ingia EAA.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Nchi imefunguka baada ya kifo cha jiwe, watu sasa wanaagiza ndiga kwa speed ya 4GB.Kwa speed hii hapo mwezi July unaweza kuisha na dzz
Hela si inavuja vizuri sahizi watu wanalamba asali tu maofisini humoNchi imefunguka baada ya kifo cha jiwe, watu sasa wanaagiza ndiga kwa speed ya 4GB.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Sawa mangi tuvute muda.
DZG.
Hoja ya meli kuja dar ni hoja dhaifu sana , meli haibebi magari ya kusajiliwa Tanzania pekee, inabeba gari za nchi nyingi, unaeza kuta hizo gari 3000 plus zinazoshuka tunazajili 500,tu , zingine zikasafirishwa au zinanunuliwa na dealers sometimes bond kwa usajili wa baadaye