[emoji23][emoji23][emoji23]Wale jamaa wanaojua hadi idadi ya magari ya bongo kwenye kila meli ya Dar port wamepotea kwenye huu uzi.[emoji16][emoji16].
NB:Walitabiri DZG ingekaa mwezi mzima kutoka May hadi June!
Hahahah lazma wapoteane tu mzigo DZL ndio kwanza June 7 mpaka kufikia june 30 tutakuwa tushafika DZQ bila shaka😀Wale jamaa wanaojua hadi idadi ya magari ya bongo kwenye kila meli ya Dar port wamepotea kwenye huu uzi.😁😁.
NB:Walitabiri DZG ingekaa mwezi mzima kutoka May hadi June!
Bajeti yako ni sh ngapi?Nashda na wish used heruf D au runx au allex nicheck inbox
Tupo mkuu msimamo ni ule ule namba E ni 2023.Wale jamaa wanaojua hadi idadi ya magari ya bongo kwenye kila meli ya Dar port wamepotea kwenye huu uzi.😁😁.
NB:Walitabiri DZG ingekaa mwezi mzima kutoka May hadi June!
Namba hazidanganyi E mwaka huu mwishoniTupo mkuu msimamo ni ule ule namba E ni 2023.
2028Sitokuja kununua Gari katika namba E, Nina DZG ya mwisho Hadi E itakapoisha nitanunua F kwasababu siamini katika herufi za namba witiri/tasa naamini katika namba even
Nakuchek inboxBajeti yako ni sh ngapi?
D ina miaka 8 so had E iishe 2031 ndio utapata F2028
D imeanza 20122028
Bandarin muda huu..[emoji23][emoji23] wabongo tuna hela aiseeView attachment 2255450
2014 september ndio DA ilianzaD imeanza 2012
Mwaka huu huu mkuuNarudia E 2023
Sio rahisi I think mwakanMwaka huu huu mkuu