General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
-
- #921
Noooma sanaView attachment 2275846
Bet "Won" nilitabiri tutafunga mwezi na DQ yametimia. Wale wanaosema namba E ni mwakani tukutane sheli hapo August [emoji23][emoji23][emoji23]!
Upo vizuriKama ni dada mwambie achukue Royal saloon, hiyo ji luxury car yenye suspension za kunesa...
Crown athlele ni sport, kwa wanaopenda mbioo...
Majesta lile ni V8 Saloon car
Ushamba wa Namba MpyaDZN hiyo
.....View attachment 2270408
Kama hutembelei laweza kaa hata miakaNiliwahi sikia wiki 2
Wakiliiba inakuwaje wanasajili wao?Kama hutembelei laweza kaa hata miaka
EAA kama zile namba za zamaniiiiIla E ina sound Kama A jamani..
Mi sijui kwa nini natamani tu nipate D
Jamaa vipi?Bet "Won" nilitabiri tutafunga mwezi na DQ yametimia. Wale wanaosema namba E ni mwakani tukutane sheli hapo August [emoji23][emoji23][emoji23]!
Wanaonunua magari ya kwanza mara nyingi ajali ni kawaida maana wanataka wafosiHawa ndio wale breki za kijinga nyuma kuna fuso likambusu
Freshi niaje mzeeJamaa vipi?
Ameshaisha huyo...Na kainunua juzi tuView attachment 2270617
Hawezi kusajili mtu kama hana supporting documentsWakiliiba inakuwaje wanasajili wao?
Safi chief tupo tupoFreshi niaje mzee
Ninachowapenda Jan kwenye mileage wako sahihi kama unavyoziona beforward hawa wengine wanashusha mileage ni bora anaekwambia ukweli gari imetembea kiasi ganiView attachment 2278177Hawa jamaa wanajiita janinternational Tanzania wanataka kunitia vishawishi.
Wametoa punguzo la 2-3M kwa kila gari wanalouza msimu huu wa 7-7.
Changamoto ya magari yao mengi mileage ni 100K+ kilometers.
Shida ni pale utakapohitaji kuliuza tu kibongobongo.Ninachowapenda Jan kwenye mileage wako sahihi kama unavyoziona beforward hawa wengine wanashusha mileage ni bora anaekwambia ukweli gari imetembea kiasi gani
Kuna uzi upo humu kuhusu wanaoghushi mileage utafute wadau walishuka nao vizuri sana.Shida ni pale utakapohitaji kuliuza tu kibongobongo.
Wanunuzi wataelewa kweli kuwa wewe ni genuine mileage na wengine ni ghushi?
Kwa wanaonunua gari anadumu nalo mpaka limfie sioni shida kabisa.