General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
-
- #1,041
Mkuu wewe bado tuuu
Hii ina m
Hii inamaanisha nini mkuu wapi kuna ahueni kukagulia nchini na kukaguliwa nje?
Basi imekaa Njema Maana mwaka huu kabla haujaisha nataka kutungua niachane na CMD hadi jina naitwa CMD bwana miaka 7 imening'ang'ania Sijaangiza tangu wabadilishe mfumo kuleta ukaguzi ndani. Wala no D sijaagizaπππ naipite tuE Augusta mwishoni hapoo
Bora yako kaka mi naitwa AULBasi imekaa Njema Maana mwaka huu kabla haujaisha nataka kutungua niachane na CMD hadi jina naitwa CMD bwana miaka 7 imening'ang'ania Sijaangiza tangu wabadilishe mfumo kuleta ukaguzi ndani. Wala no D sijaagizaπππ naipite tu
Mwezi August shughuli ya D inaishaπππ kazi kwenu madalali maana kile kibwagizo chenu pendwa cha namba "D" kinaelekea tamati.Sisi tulishasemaga mapema sana namba E ni August watu wakaja na permutations zao na magazijuto humu tunawaangalia tu
Italeta mchafuko fulani wa bei kwenye magari ya mikononiNamba D zitashuka bei mpaka sio vzr aiseeee
Ina tegemea na aina ya gari, Kuna gari zinawekwaga namba A zikiwa kwenye special mission ila ukiiona tu nafsi yako inakataa kuwa hii sio namba ANamba D zitashuka bei mpaka sio vzr aiseeee
DZU...
Nje,sasa gari zinazoingia zitakua qualityHii ina m
Hii inamaanisha nini mkuu wapi kuna ahueni kukagulia nchini na kukaguliwa nje?
DZU iko 7OO+ week ya kesho tunaanza V na ila kuna hati hati ya kufunga week na W. πππ
W haiwezi kufunga wiki......inaonekana km vile kuna mdororo kwenye soko la magari. Herufi zimepunguza kasi sana sio km mwanzo mwanzo hvDZU iko 7OO+ week ya kesho tunaanza V na ila kuna hati hati ya kufunga week na W. πππ
V, W, X, Y & Z
Zimebaki herufi 5 lakini za moto sana....zitatembea kwa kujikongoja mno ni kama kila mmoja anajizuia ili akamate namba E.
Sioni ajabu zikivuta hadi December hivi. Watu sasa hv wanasikiliziana sana na wameamua kukaa na hela zao kusubiri E
Haya mawazo ya watoto wa chuo tu ambao ndiyo asilimia 99.9% za wenye magariV, W, X, Y & Z
Zimebaki herufi 5 lakini za moto sana....zitatembea kwa kujikongoja mno ni kama kila mmoja anajizuia ili akamate namba E.
Sioni ajabu zikivuta hadi December hivi. Watu sasa hv wanasikiliziana sana na wameamua kukaa na hela zao kusubiri E