p_maharifa
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 152
- 214
Unakuwa na gar bila kadi ya garKama ipo kwenye maji utapata DZ au DYQ...
Au unaweza chukua chuma bandarini na usiisajili mpaka E inaanza mkuu
Sent from my CPH2095 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa na gar bila kadi ya garKama ipo kwenye maji utapata DZ au DYQ...
Au unaweza chukua chuma bandarini na usiisajili mpaka E inaanza mkuu
Utembelee chasis number? Askari hawa wa bongo watakufanya mtajiKama ipo kwenye maji utapata DZ au DYQ...
Au unaweza chukua chuma bandarini na usiisajili mpaka E inaanza mkuu
Utapata tabu sana bongo hii kutembelea chasis numberKama ipo kwenye maji utapata DZ au DYQ...
Au unaweza chukua chuma bandarini na usiisajili mpaka E inaanza mkuu
Watu hawataki mchezo,,hakuna cha Njaanuari Wala mafuta kupanda 😂DYG mtaani....
Tunasubiri.
Utapata tabu sana bongo hii kutembelea chasis number
Gari zinazotumia Chesis namba xinongezeka sana kwa sasa... sijui kisheria ipoje kuna mdau aliniambia ni kindewa tu ila mwisho saa 12....Utapata tabu sana bongo hii kutembelea chasis number
Tunapanda nayoWatu hawataki mchezo,,hakuna cha Njaanuari Wala mafuta kupanda 😂
Gari za showroom hizo,ukinunua unaona 'mpya' kumbe wameitembelea vumbini kinoma.Gari zinazotumia Chesis namba xinongezeka sana kwa sasa... sijui kisheria ipoje kuna mdau aliniambia ni kindewa tu ila mwisho saa 12....
Longway to go. DJklmnpqrstuvwxyz. Halafu ianze dza
Longway to go. DJklmnpqrstuvwxyz. Halafu ianze dza
Lipia tangazoHawa jan Japan nimewakubali kwanza wanaandika km harisi wanauza hadi magari ya mileage 220k(wakweli) na pili wana gari hadi za milion 8 na 9 hapa hapa Tz.
Nenda ukurasa wao wa insta utafurahi wako real Sana.View attachment 2097812View attachment 2097813View attachment 2097814View attachment 2097815View attachment 2097816View attachment 2097817View attachment 2097818View attachment 2097819
Instagram wanapost picha tu bila maelezo yoyoteHawa jan Japan nimewakubali kwanza wanaandika km harisi wanauza hadi magari ya mileage 220k(wakweli) na pili wana gari hadi za milion 8 na 9 hapa hapa Tz.
Nenda ukurasa wao wa insta utafurahi wako real Sana.View attachment 2097812View attachment 2097813View attachment 2097814View attachment 2097815View attachment 2097816View attachment 2097817View attachment 2097818View attachment 2097819