Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Shaa
bencarstz_1642741283849506.jpg
 
Gari zinazotumia Chesis namba xinongezeka sana kwa sasa... sijui kisheria ipoje kuna mdau aliniambia ni kindewa tu ila mwisho saa 12....
Gari za showroom hizo,ukinunua unaona 'mpya' kumbe wameitembelea vumbini kinoma.
 
Longway to go. DJklmnpqrstuvwxyz. Halafu ianze dza

Kila herufi kwa utafiti wangu huchukua siku 2 hadi tatu kuhamia herufi nyingine...

Kwa DYJ itakaa kwa siku 2 hadi 3,
So mpaka kufikia DYZ ni siku 48 maximum ambapo from now ni mpk mwezi wa 2 mwishoni...
DZ itaanza March na kuisha June.
 
Hawa jan Japan nimewakubali kwanza wanaandika km harisi wanauza hadi magari ya mileage 220k(wakweli) na pili wana gari hadi za milion 8 na 9 hapa hapa Tz.

Nenda ukurasa wao wa insta utafurahi wako real Sana.
janinternationaltanzania_1643314819087738.jpg
janinternationaltanzania_1643314819088447.jpg
janinternationaltanzania_1643314819088881.jpg
janinternationaltanzania_1643314819087551.jpg
janinternationaltanzania_1643314819087572.jpg
janinternationaltanzania_1643314819087203.jpg
janinternationaltanzania_1643314819087415.jpg
janinternationaltanzania_1643314819088603.jpg
 
Back
Top Bottom