kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Hivi ni kweli magari yanaenda kupanda bei kuanzia July hii?au tunatishana huku kitaaTzs60,000-80,000 hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli magari yanaenda kupanda bei kuanzia July hii?au tunatishana huku kitaaTzs60,000-80,000 hapo
Mkuu mbona simple tu ukitaka kuliuza wew unashusha mileageShida ni pale utakapohitaji kuliuza tu kibongobongo.
Wanunuzi wataelewa kweli kuwa wewe ni genuine mileage na wengine ni ghushi?
Kwa wanaonunua gari anadumu nalo mpaka limfie sioni shida kabisa.
Bado magari 7,000 na ushee ndiyo tuingie T 001 EAA
wazee kutembelea chasis no sio mchezo matraffic kila kona mpaka nakoma. Mnawezaje?
Kama limeshaanza vugu vugu hilo ni muda tu utaskia kipengele cha sheria kimebadilishwa ili kubariki hiloHivi ni kweli magari yanaenda kupanda bei kuanzia July hii?au tunatishana huku kitaa
Wanaongeza mara ngapi wakati mwaka huu walishaongeza ushuru wa magariKama limeshaanza vugu vugu hilo ni muda tu utaskia kipengele cha sheria kimebadilishwa ili kubariki hilo
Nimeona uzi huu ukizungumzia namba za usajili wa magari nchini Tanzania, nikaona nitoe darasa la Permutations & combinations. Gari lililokaririwa lilikuwa na namba ya usajili T609DWV. Hiyo inamaanisha namba ya usajili inaanzia na T ikafuatwa na tarakimu 3; nazo zikafuatwa na herufi tatu. Hesabu za Permutation zinasema kwamba kwa mpangilio huo magari 17,576,000 yanaweza kusajiliwa kama tarakimu zote 10 (0, 1, 2, ..., 9), na herufi zote 26 (A, B, C, ..., Z) zitatumika. Kwa kila herufi kuwa ya kwanza na mipangilio mingine ikabakia hivyo hivyo, magari 676,000 tu ndiyo yanaweza kusajiliwa.Can't wait to see you E....
Nishaagiza chumaa....
Itafika july....
Naiweka lockup mpk August hapo...
Mwez wa 8 yunaingia E
Nimeona uzi huu ukizungumzia namba za usajili wa magari nchini Tanzania, nikaona nitoe darasa la Permutations & combinations. Gari lililokaririwa lilikuwa na namba ya usajili T609DWV. Hiyo inamaanisha namba ya usajili inaanzia na T ikafuatwa na tarakimu 3; nazo zikafuatwa na herufi tatu. Hesabu za Permutation zinasema kwamba kwa mpangilio huo magari 17,576,000 yanaweza kusajiliwa kama tarakimu zote 10 (0, 1, 2, ..., 9), na herufi zote 26 (A, B, C, ..., Z) zitatumika. Kwa kila herufi kuwa ya kwanza na mipangilio mingine ikabakia hivyo hivyo, magari 676,000 tu ndiyo yanaweza kusajiliwa.
Wakati huo huo, kama itasemekana tarakimu 0 & 1 zinaweza kuchanganywa na herufi O na I, na ikaamuliwa hizo herufi mbili zisitumike, basi idadi ya magari yanayoweza kusajiliwa ni 13,824,000 tu na kwa herufi moja, pekee kutangulia kunaweza kusajiliwa magari 576,000 tu.
kwa hiyo, General Mangi unaweza kukisia muda utakaosubiri mpaka herufi E ifikiwe, kwa kuzingatia pia wastani wa magari yanayosajiliwa kwa mwezi.
Tumefikia muafaka kwenye hiyo athlete,nilipomwambia majesta v8 alistuka.akasema achana nayo.Majesta tamu sana sema ni V8 hahaha ina balaa ila kama atataka standard achukue Athlete
December?View attachment 2281985Kwa wanaoishi miji yenye utitiri wa gari za IT kama KAHAMA hata ukinunua gari Leo utatembelea chassis namba tu hadi hiyo September.
Nimeamini kweli kwamba kati ya watanzania mill60 ni vijana wachache sana jamiiforums wanasubiria namba E. 99% ya wa tz hawana habari na namba E ndo mana namba zinakimbia.December?
S T U V W X Y Z duuh zimebaki herufi nane.
Nmekubali september hapo au October E inawaka mtaani.
Nimeamini kweli kwamba kati ya watanzania mill60 ni vijana wachache sana jamiiforums wanasubiria namba E. 99% ya wa tz hawana habari na namba E ndo mana namba zinakimbia.
Ingekuwa nchi nzima inasubiria namba E, Namba D isingetoboa kiasi hichi.
Usiwe na hasira mkuu
Uzi unasema tunaosubiri namba E tukutane hapa.. Nje ya hapo ni porojo tuu..Nimeamini kweli kwamba kati ya watanzania mill60 ni vijana wachache sana jamiiforums wanasubiria namba E. 99% ya wa tz hawana habari na namba E ndo mana namba zinakimbia.
Ingekuwa nchi nzima inasubiria namba E, Namba D isingetoboa kiasi hichi.