Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Ushauri wangu kwa mamlaka husika kama wamo humo ndani ya jukwaa

Wabadilishi mfumo wa PLAT NUMBER za magari ili ziwe zinaendana na mwaka wa gari lilipo tengenezwa (year of manufacture) hii itasaidia sn katika mambo mengi.

Mfano
Kama gari imetengenezwa 2003 au 2009
Waje na Code itakayo anza na mwaka kwa mfano gari zote zilizo tengenezwa kuanzia 2000 hadi 2009 wajena na CODE 2 au 5 inayo utambulisha mwaka husika Kwahiyo gari ya mwaka 2002 au 2009

Mwaka Plate Number
2001 TZ 21 DXX OR T 51 DXX

2002 TZ 22 TCH OR T 52 TCH


2009 TZ 29 CVF OR T 59 CVF

HAYA MAWAZO YANGU TU .
Gari nyingi tu za jeshi letu Jwtz ndio wenye huo mfumo
 
View attachment 2278177Hawa jamaa wanajiita janinternational Tanzania wanataka kunitia vishawishi.

Wametoa punguzo la 2-3M kwa kila gari wanalouza msimu huu wa 7-7.

Changamoto ya magari yao mengi mileage ni 100K+ kilometers.
Gari yenye km 100,000+ unatakiwa ukiinunua unabadili timing belt, tensioner, bearing na waterpump kitu kinakua kama kipya...
 
Kama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 21,600 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 68,400 Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo. (Edited )
T111AAA mpaka T999ZZZ itachukua miaka 150
 
Boom
20220712_125441.jpg
 
Back
Top Bottom