Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Hakuna gari ulishawah I pewa namba ya gari nyingine iliyopata ajali au kua written off. Huo ni uongo. Sema unaweza ona v8 au mi cruiser ina namba za Zaman wale ni vitengo maalumu ila haiwezekani hata siku 1 mtu kupewa namba ya gari ya zamani. Kama una ushahidi weka. Ingekua tusingekua tumefika Dzx leo. Zingeanza kujazwa namba zote za pikipiki ambazo zilihamishiwa Plate namba hizo mpya za pikipiki. Had leo nadhani tu ngekua dj au bado hatujaifikia
Gari ikiwa written off haitolewi Kwenye mfumo wa TRA ,na hakuna trafik anayekagua chassis number,kwahiyo ikipatakana gari ya kufanana wapo wanaojilipua
 
Hakuna gari ulishawah I pewa namba ya gari nyingine iliyopata ajali au kua written off. Huo ni uongo. Sema unaweza ona v8 au mi cruiser ina namba za Zaman wale ni vitengo maalumu ila haiwezekani hata siku 1 mtu kupewa namba ya gari ya zamani. Kama una ushahidi weka. Ingekua tusingekua tumefika Dzx leo. Zingeanza kujazwa namba zote za pikipiki ambazo zilihamishiwa Plate namba hizo mpya za pikipiki. Had leo nadhani tu ngekua dj au bado hatujaifikia
kujua kwingi nako ni tatizo nikushauri tu nemda TRA kapate elimu kwanza kabla ya kuwa mbishi.
 
Mkuu sasa hivi namba hizi 111/222/333/444/555/666/777/888/999/123/456/789 zimeingizwa kwamba ni special namba kwaio hizo kuzipata ni 500,000 yani system inaisoma kama 500,000 hio hatari sana....
Aisee, hicho ndo nilikuwa nasemea.
 
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...

Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.

View attachment 1888026


Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..

Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]

Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...

Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
September mwishoni
 

IMG_1313.jpg
 
mhh hii namba E inakazi sana kuna mwamba ni askari kanunua crown namuona nayo kama sijakosea inaenda mwezi wa tatu yupo na id number kila nikipishana nae najisemea akilini anangoja E na wilaya yetu isivyo na magari makali bas atatamba sana kwa wanaothamini plate number
 
ila zitoke tu hizo E watu wakizishambulia sisi wengine tukatafute C zetu safiii. alaf hamna umyama kama unamiliki gari yenye number ya zaman alaf kwa matunzo ionekane bado mbichi ukipita lazma watu wabishane. me mkoani kwangu kuna vyuma vikikupita prado ranger vx usajili B ila inaita vibaya mno chombo matunzo japo kumiliki E napo kuna ujiko watu wanajua umenunua gari nyingine.
 
Back
Top Bottom