Hiyo ofisi imekaa kama vile ofisi za uhamiaji KibahaWa vitengo maalumu tushawekewa asubuhi na mapemaaaa...
View attachment 1863275
View attachment 1863280
Eeh lazma kuna mtu kamchania mkekaKauzwa huyo!
[emoji28][emoji28][emoji28] Kama ulijua vile. Hiyo yote inaenda kuishia kwenye ujenzi.Naona umesha draw hela ya mafundi ukawalipe sasa sio ukae nazo bar uotewe na “wangunju”