Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #21
Unaoga kwenye mito na madimbwi
hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaoga kwenye mito na madimbwi
Andikahapa hayomadawa mkuuKongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu
Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende
The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe
Hapo tatizo liko damuni. Dawa za kupaka litakuwa linaenda na kurudi. tafuta unga wa mziwa ziwa, msokonoi na hembe mbera. kidogo utakunywa kwa chai wiki moja na kidogo utaandalia mafuta ya kupaka wiki. Hapo utamaliza tatizo lolote la ngozi iwe aleji, pumu ya ngozi , n.k . Kwa ushauri zaidi piga 0713 039 875
Mbona unaguna mkuu.. hutaki dawa au😃😃😂mmhh
Mamboya inbox tuyaachie fb wahuni hapa n nduguboja mamamojababatofautiAndikahapa hayomadawa mkuu
kula vitunguu saumu wiki tatu chukua naa tangawizi changanya na asali kunywa asbh na jion
paka na alovera asbh na jion...nioopalekwaamangi
shida unanyolea saluni za kitoto
Je dawa ya utango tango/ mabaka baka mgongoni na mabegani?Pole ila dawa ya vibarango/mapunye ni rahisi sana ni hii
Chukua msusa(majani ya maboga) yasigine mpaka upate majimaji, weke kwenye hayo mapunye, hata mara 2 tu. Unafuta mpaka kovu.
Ulete mrejesho
Mkuu sema tiba ya utango tango dugu yaguKongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu
Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende
The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe
Ninayofahamu ni hiyo tu ya vibarango mkuu.Je dawa ya utango tango/ mabaka baka mgongoni na mabegani?