Tunaosumbuliwa na vibarango Tukutane hapa

Tunaosumbuliwa na vibarango Tukutane hapa

Kongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu

Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende

The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe
Andikahapa hayomadawa mkuu
 
Hapo tatizo liko damuni. Dawa za kupaka litakuwa linaenda na kurudi. tafuta unga wa mziwa ziwa, msokonoi na hembe mbera. kidogo utakunywa kwa chai wiki moja na kidogo utaandalia mafuta ya kupaka wiki. Hapo utamaliza tatizo lolote la ngozi iwe aleji, pumu ya ngozi , n.k . Kwa ushauri zaidi piga 0713 039 875
 
Hapo tatizo liko damuni. Dawa za kupaka litakuwa linaenda na kurudi. tafuta unga wa mziwa ziwa, msokonoi na hembe mbera. kidogo utakunywa kwa chai wiki moja na kidogo utaandalia mafuta ya kupaka wiki. Hapo utamaliza tatizo lolote la ngozi iwe aleji, pumu ya ngozi , n.k . Kwa ushauri zaidi piga 0713 039 875

mmhh
 
Kongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu

Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende

The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe
Mkuu sema tiba ya utango tango dugu yagu
 
Back
Top Bottom