Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

Matokeo yakitoka tu msumbueni coordinator atume matokeo af AVN usiprocess kwenye mtandao timba ofisin za NACTE.
 
Matokeo yakitoka tu msumbueni coordinator atume matokeo af AVN usiprocess kwenye mtandao timba ofisin za NACTE.
Hapa nimekupata vizuri ndugu we ndo utakuwa muongozo wangu,
Kwahyo ukitimba NACTE ni chapu..ety
 
Naomba niulize wakuu.. Mtu kama atajilipia kila kitu chuoni (meals, accomodation, tuition fee + all expenses) then anavyo vigezo vyote vya kusoma course flani, je anaweza kupata direct admission one way from the university kwa course anayoitaka?
If YES, atatumia njia gani?

*Nimeandika kama nilivyoulizwa
 
Vipi kwa kozi Kama human resources na business administration hiv G.P.A ni ngap ili qualify kuendelea bachelor
 
Naomba niulize wakuu.. Mtu kama atajilipia kila kitu chuoni (meals, accomodation, tuition fee + all expenses) then anavyo vigezo vyote vya kusoma course flani, je anaweza kupata direct admission one way from the university kwa course anayoitaka?
If YES, atatumia njia gani?

*Nimeandika kama nilivyoulizwa
Lazima aingie kwenye competition ya kupata nafasi.
Chuo hautapata kwa uwezo wako wa kulipa bali kukidhi vigezo na kupita kwenye competition ya kupata nafasi kadiri ya idadi ya wanaohitajika
 
Lazima aingie kwenye competition ya kupata nafasi.
Chuo hautapata kwa uwezo wako wa kulipa bali kukidhi vigezo na kupita kwenye competition ya kupata nafasi kadiri ya idadi ya wanaohitajika
As I said vigezo vyote anavyo (PCB-DBB) Ila ametarget chuo kimoja tu kwa course anayoitaka yeye ndio maana anauliza kama kuna uwezekano wa kupata direct admission.
 
Vijana wenzangu naona Siku zinakwenda mbio, form 6 ndo hao washaanza mitihani na kwa wale waliopo vyuo vya kati kumalizia diploma naona semester ndo hvyo tena inakatika mdogomdgo.
Bila shaka next month(July) bodi ya mikopo wataanza kutoa announcement about uombaji wa mikopo mwaka huu.

Hv diploma mwenzangu chuo chochote ulichokuwa unaionaje kasi ya hii semester hadi kufikia kuimaliza tutakuwa na muda wakutosha kuomba vyuo mbalimbali..!! Na kama mnavyojua sasa ushindani ni mkubwa.!!

Vp pia kuhusu Application za mkopo mbilingembilinge zake tutaendana na muda kweli..!!
Ni hasa tufanye ili tuendane na muda husika kwa kuwahi kuomba vyuo mapema(Madirisha ya kwanza)

Mkuu Masiya karibu sana Jukwaa lako penda utushauri ndugu zako.

% Karibuni %
Kwa waombaji mikopo na vyuo mbalimbali karibuni ofisini kwangu natazamana na Airwing Secondary kwa wale walio Dar es Salaam au nje ya Dar es Salaam siku hizo teknolojia inasaidia sana tunaweza kufanya application bila wewe kuwepo then tunakutumia unafanya verification
 
Unatoa huduma gani mkuu,kana ni AVN hapo utatukamata wengi sana maana tumekwama...!
Mkuu, shida inayosababisha AVN iwe issue sana ni vyuo kuchelew kutuma matokeo NACTE, au nacte kuchekewa ku-confirm matokeo.
Ila kwenye suala LA kuomba AVN ni rahisi tu nasikia hata kwa simu inawezekana na wala Hanna documents nyingi zinazohitajika
 
Mkuu, shida inayosababisha AVN iwe issue sana ni vyuo kuchelew kutuma matokeo NACTE, au nacte kuchekewa ku-confirm matokeo.
Ila kwenye suala LA kuomba AVN ni rahisi tu nasikia hata kwa simu inawezekana na wala Hanna documents nyingi zinazohitajika
Najipanga na safari ya kuzitafuta ofisi za NACTE makao makuu,maana hata izi za kanda nackia hakuna msaada wowote.Nimehangaika na hii AVN,huu sasa mwezi wa tatu.Chuo na NACTE wanarushiana mpira.Chuo wanasema wametuma na NACTE wanasema hawajatuma.Chuo nimemaliza mwaka Jana 2019,matokeo yangu yote yamekamilima na GPA ni nzuri sana.Sina supp,wala hakuna somo linapungua wala kudaiwa.Hivyo nikisema AVN imenitesa,jua imenitesa vya kutosha...!
 
Najipanga na safari ya kuzitafuta ofisi za NACTE makao makuu,maana hata izi za kanda nackia hakuna msaada wowote.Nimehangaika na hii AVN,huu sasa mwezi wa tatu.Chuo na NACTE wanarushiana mpira.Chuo wanasema wametuma na NACTE wanasema hawajatuma.Chuo nimemaliza mwaka Jana 2019,matokeo yangu yote yamekamilima na GPA ni nzuri sana.Sina supp,wala hakuna somo linapungua wala kudaiwa.Hivyo nikisema AVN imenitesa,jua imenitesa vya kutosha...!
Poleeeeeh sanaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom