Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

i am typical kuryan na am proud for this....lakini mila za kule kwetu bana siziwezi...nashukuru nimezaliwa na kukulia kilimanjaro
Hii jina lako ni 'ra kure kwetu' ila la mleta mada jina lake haliekei hata kidogo.
 
siku ya kwanza kwenda hapo sirari, nlishangaa sana jinsi wanavyoishi hawa watu,mauaji kila kona , ila wakijua km ww mgeni hapo ndo utalia wanawatesa sana wasukuma migodini.
nb:mm mwenyew ni mkira wa sirari ila nlizaliwa mjini ,so, nlikuwa naendaga kusalimia tu
amang'ana muraaaaaaaaaaa
 
Mimi nipo hapa hapa musoma makao makuu ya mkoa Wa Mara watu Wa hapa ni wakarimu tofauti na nilivyowadhania, tatizo no watu Wa kulipa kisasi yaani kama umemfanyia ubaya hata baada miaka mingi analipa kisasi Kwa ndugu yako yoyote hata kama ulikwisha kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakurya achen wizi fanyen kazi

Vile vile achen kuzikimbia familia zenu na kukimbilia mikoa ya watu

Ukiangalia mkoa wa mara kwa sasa ndo mkoa masikin kuliko yote kanda ya ziwa, mkoa kwa sasa unazidiwa mbali sana na mikoa mipya ya usukuman kama geita na simiyu pia inazidiwa mbali sana na wilaya za kahama na maswa

Wakurya badiliken kuwen na akili achen ushamba

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Kweli mkuu kwenye hilo la kuzikimbia familia

Wakurya hatuna huo utamaduni wa kukimbia familia zetu hilo nakupinga
Na unavyosema et ndo mkoa masikini kuliko yote duh sijui ni kwa vigezo gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku ya kwanza kwenda hapo sirari, nlishangaa sana jinsi wanavyoishi hawa watu,mauaji kila kona , ila wakijua km ww mgeni hapo ndo utalia wanawatesa sana wasukuma migodini.
nb:mm mwenyew ni mkira wa sirari ila nlizaliwa mjini ,so, nlikuwa naendaga kusalimia tu
amang'ana muraaaaaaaaaaa
Duh mkuu sawa sirari kule ni mpakani kwahiyo ni lazma mambo kama hayo

Ila umezaliwa mjini kivipi???
Pale tarime mjini au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo hapa hapa musoma makao makuu ya mkoa Wa Mara watu Wa hapa ni wakarimu tofauti na nilivyowadhania, tatizo no watu Wa kulipa kisasi yaani kama umemfanyia ubaya hata baada miaka mingi analipa kisasi Kwa ndugu yako yoyote hata kama ulikwisha kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Duuuuuuh,

Kisasi kama kesi ya madai!?

Kwamba, ukifa hukumu ikitolewa jamaa zako wanalipia deni!!

Wakurya, shikamoooooooo!,
 
Lazima uamke usiku kabla baba hajaamka kwenda kumsalimia usipofanya hivyo jua kesi hiyo!
Watoto Ni lazima wajifunze Na kusalimia kwa kikurya!
 
Nimeishi Na wakurya mda mrefu sana!
Kwanza niwasifu kitu kimoja mna jali sana ndugu,
Ila MNA haya;
Ati mtoto akifeli shule au akiharibu chochote basi mwanaume anakuja kumgombeza mama nyumbani! Yaani utafikiri huyu mama alimtuma mtoto afeli......

*Kujifanya much know sana ! hapa Ndio mnameza rekodi!
*Wivu kwa wanawake wakati huo we mwanaume kutoka Na wanawake wengine basi Ndio unajiona wewe kidume!
*Kukeketa watoto wenu wa kike halafu mkifika mjini mnashoboka Na wanawake wa makabila mengine ambao hawajakeketwa Na kuona kama ulipotea vile kuoa aliyekeketwa!

[HASHTAG]#Nitaendelea[/HASHTAG]
Tehetehetehe mkuu umesema kweli.. Tuko hivyo 100%, unakaa kitunda sehemu gani mura
 
Wakurya achen wizi fanyen kazi

Vile vile achen kuzikimbia familia zenu na kukimbilia mikoa ya watu

Ukiangalia mkoa wa mara kwa sasa ndo mkoa masikin kuliko yote kanda ya ziwa, mkoa kwa sasa unazidiwa mbali sana na mikoa mipya ya usukuman kama geita na simiyu pia inazidiwa mbali sana na wilaya za kahama na maswa

Wakurya badiliken kuwen na akili achen ushamba

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuu sawa msukuma tumekusikia
 
Mimi nipo hapa hapa musoma makao makuu ya mkoa Wa Mara watu Wa hapa ni wakarimu tofauti na nilivyowadhania, tatizo no watu Wa kulipa kisasi yaani kama umemfanyia ubaya hata baada miaka mingi analipa kisasi Kwa ndugu yako yoyote hata kama ulikwisha kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo Ndo tatizo letu pia visasi yaani tuna tabia ya kuweka mambo moyoni sana Japo sio wote mkuu

Kwahiyo ndo maana mtu aweza kusema niwakatili

Ila watu kutoka mkoa wa mara ni wakarimu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima uamke usiku kabla baba hajaamka kwenda kumsalimia usipofanya hivyo jua kesi hiyo!
Watoto Ni lazima wajifunze Na kusalimia kwa kikurya!
Mkuu wewe Ndio umekaa na wakurya na umetusoma vyema, acha hao wanaosikia
 
Back
Top Bottom