Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Watu wengi hutumia ringtone zilizokuja na simu, na tupo sisi tunaotumia ringtone za miziki na nyimbo tuzipendazo.
Mimi natumia ringtone za nyimbo za injili, nyimbo ni sehemu yangu ya ibada, je wewe unatumia wimbo gani?
NI DAMU IDONDOKAYO
Wimbo: There is a fountain R.L.175, S.S. & S. 129, N.K. 72
Mtunga maneno: W. Cowper, (1731-1600)
2. Ilimpatia wokovu mwizi kule mtini;
nami nisiyemtafuta, inanisafisha.
Bwana wangu ...
3. Shaushi aliyemlinda Yesu akiteswa,
naye akamshuhudia: ni Mwana wa Mungu!
Bwana wangu ...
4. Nipe ulimi mpya Yesu wa kukuimbia,
Babayo tutamtukuza Jina lake pekee.
Bwana wangu
Mimi natumia ringtone za nyimbo za injili, nyimbo ni sehemu yangu ya ibada, je wewe unatumia wimbo gani?
NI DAMU IDONDOKAYO
Wimbo: There is a fountain R.L.175, S.S. & S. 129, N.K. 72
Mtunga maneno: W. Cowper, (1731-1600)
2. Ilimpatia wokovu mwizi kule mtini;
nami nisiyemtafuta, inanisafisha.
Bwana wangu ...
3. Shaushi aliyemlinda Yesu akiteswa,
naye akamshuhudia: ni Mwana wa Mungu!
Bwana wangu ...
4. Nipe ulimi mpya Yesu wa kukuimbia,
Babayo tutamtukuza Jina lake pekee.
Bwana wangu