Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimeweka "Mungu baba tusamehe tumelewa, dunia hii kuna watu wanakera, chikiri papapapapa poripori-chikiri papapapapa poripori"Watu wengi hutumia ringtone zilizokuja na simu, na tupo sisi tunaotumia ringtone za miziki na nyimbo tuzipendazo.
Mimi natumia ringtone za nyimbo za injili, nyimbo ni sehemu yangu ya ibada, je wewe unatumia wimbo gani?
NI DAMU IDONDOKAYO
Wimbo: There is a fountain R.L.175, S.S. & S. 129, N.K. 72
Mtunga maneno: W. Cowper, (1731-1600)
View attachment 2510075
2. Ilimpatia wokovu mwizi kule mtini;
nami nisiyemtafuta, inanisafisha.
Bwana wangu ...
3. Shaushi aliyemlinda Yesu akiteswa,
naye akamshuhudia: ni Mwana wa Mungu!
Bwana wangu ...
4. Nipe ulimi mpya Yesu wa kukuimbia,
Babayo tutamtukuza Jina lake pekee.
Bwana wangu
Please attach mp3 yake🥰Mi nimeweka "Mungu baba tusamehe tumelewa, dunia hii kuna watu wanakera, chikiri papapapapa poripori-chikiri papapapapa poripori"
Kama kuna uwezekano, share it with us pleaseNimeweka nyimbo ya I LOVE YOU LORD, mwimbo mzuri sana
Kwenye radio callAmbao hatuna simu kabisa tunacomment wapi?
Kama kuna uwezekano, share it with us please