Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Naomba unitumie huo mdundo ili nami nikutumie kama ring call kwa simu yangu.NI DAMU IDONDOKAYO
Wimbo: There is a fountain R.L.175, S.S. & S. 129, N.K. 72
Naomba unitumie huo mdundo ili nami nikutumie kama ring call kwa simu yangu.
Nimeupenda.
Hata home hutaki kelele, unasikiliza empty CDHakuna mlio kwenye simu yangu ni vibration tu
AminaUbarikiwe sana mpendwa
Umeua mtu hapa 😂😂Hata home hutaki kelele, unasikiliza empty CD
Mimi kwangu nina TV tu na huwa naangalia mechi tu na ID. Kelele ya aina nyingine siitakiHata home hutaki kelele, unasikiliza empty CD
Acha uongo kijana, hata kwa TV kuna matangazo yenye kamdundo usiseme kuwa husikilizagi mikelele , tafuta uongo mwingineMimi kwangu nina TV tu na huwa naangalia mechi tu na ID.
Haya.Acha uongo kijana, hata kwa TV kuna matangazo yenye kamdundo usiseme kuwa husikilizagi mikelele , tafuta uongo mwingine
Vibration pia ni sauti, acha uongo.Sipend simu inayoita kwa sautiii
Ni mwendo wa 📳 tuu
Ambao hatuna simu kabisa tunacomment wapi?Watu wengi hutumia ringtone zilizokuja na simu, na tupo sisi tunaotumia ringtone za miziki na nyimbo tuzipendazo.
Mimi natumia ringtone za nyimbo za injili, nyimbo ni sehemu yangu ya ibada, je wewe unatumia wimbo gani?
NI DAMU IDONDOKAYO
Wimbo: There is a fountain R.L.175, S.S. & S. 129, N.K. 72
Mtunga maneno: W. Cowper, (1731-1600)
View attachment 2510075
2. Ilimpatia wokovu mwizi kule mtini;
nami nisiyemtafuta, inanisafisha.
Bwana wangu ...
3. Shaushi aliyemlinda Yesu akiteswa,
naye akamshuhudia: ni Mwana wa Mungu!
Bwana wangu ...
4. Nipe ulimi mpya Yesu wa kukuimbia,
Babayo tutamtukuza Jina lake pekee.
Bwana wangu