BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Mitaa yangu Mwananyamala, service huwa napigia Kinondoni Biafratupo we uko pande zipi
Kwa nini?Wazee wa Makelele...
hahaha ni gari tena haswaMkutane kufanya nn na hizo mbolea zenu? Kalaleni huko, Hivi Subaru nayo gari au ni usafiri tu!
Mkutane kufanya nn na hizo mbolea zenu? Kalaleni huko, Hivi Subaru nayo gari au ni usafiri tu!
ππππukinipa subaru na ndizi nachukua ndizi nile nishibe sitaki mawazo mimi na mbolea ya chumvi chumvi
upo mkoa gani? kama upo dar jaribu 0-60 garageMsaada wa rim ya subaru legacy jaman...wap ntapata spare parts?rim yangu 1 imepasuka nahitaji spare part 1 tu ya hyo rim size 17
We jamaa si ajabu ukawa huna hata baiskeli.. mabandiko yako humu yamekaa kilimbukeniMkutane kufanya nn na hizo mbolea zenu? Kalaleni huko, Hivi Subaru nayo gari au ni usafiri tu!