Umesema ukweli kabisa!Bila katiba yetu kuwa mbovu, kwa uhalifu alioufanya jiwe, asingefia Mzena, bali angefia jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema ukweli kabisa!Bila katiba yetu kuwa mbovu, kwa uhalifu alioufanya jiwe, asingefia Mzena, bali angefia jela
Somo kuu ni kuwa In America no one is above the law even the President,huku kwetu Rais yuko juu ya sheria,hagusikiHukumu ya kihistoria imetolewa katika mahakama za huko America, Kwa Rais mstaafu wa nchi hiyo, Donald Trump, kukutwa na hatia Kwa makosa 34 ya jinai, aliyoshitakiwa nayo.
Hiyo inamfanya Donald Trump, kuwa Rais wa kwanza mstaafu wa America, kukutwa na hatia, Kwa makosa ya jinai tokea Taifa Hilo liundwe.
Kwa nchi yetu najua Hilo haliwezekaniki kutokea, Kwa kuwa Taifa letu, watawala wetu wametengeneza Katiba, inayompa Kinga Rais yeyote anayedumu Kwenye madaraka, kuwa hatashitakiwa Kwa makosa yoyote, anapokuwa madarakani na hata pale anapostaafu!
Ndiyo maana madai yanayotolewa na wananchi walio wengi, pamoja na vyama vya upinzani vya nchi hii ya madai ya kuandikwa upya wa Katiba ya nchi yanakuwa na nguvu sana
Swali hapa ni kuwa kama nchi tunapata fundisho gani Kwa Rais mstaafu wa Taifa kubwa na lenye nguvu kubwa za kiuchumi, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai aliyoyafanya akiwa madarakani?
Somo pekee tunalopata hapa ni kuwa hakuna Binadamu, aliye juu ya Sheria, hata Rais wa nchi anapaswa kushitakiwa, iwapo atafanya makosa ya jinai.
Fundisho ni Moja tuu,mtawala Yuko Juu ya chochote hakuna Cha Marekani Wala Katiba Mpya 😁😁Hukumu ya kihistoria imetolewa katika mahakama za huko America, Kwa Rais mstaafu wa nchi hiyo, Donald Trump, kukutwa na hatia Kwa makosa 34 ya jinai, aliyoshitakiwa nayo.
Hiyo inamfanya Donald Trump, kuwa Rais wa kwanza mstaafu wa America, kukutwa na hatia, Kwa makosa ya jinai tokea Taifa Hilo liundwe.
Kwa nchi yetu najua Hilo haliwezekaniki kutokea, Kwa kuwa Taifa letu, watawala wetu wametengeneza Katiba, inayompa Kinga Rais yeyote anayedumu Kwenye madaraka, kuwa hatashitakiwa Kwa makosa yoyote, anapokuwa madarakani na hata pale anapostaafu!
Ndiyo maana madai yanayotolewa na wananchi walio wengi, pamoja na vyama vya upinzani vya nchi hii ya madai ya kuandikwa upya wa Katiba ya nchi yanakuwa na nguvu sana
Swali hapa ni kuwa kama nchi tunapata fundisho gani Kwa Rais mstaafu wa Taifa kubwa na lenye nguvu kubwa za kiuchumi, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai aliyoyafanya akiwa madarakani?
Somo pekee tunalopata hapa ni kuwa hakuna Binadamu, aliye juu ya Sheria, hata Rais wa nchi anapaswa kushitakiwa, iwapo atafanya makosa ya jinai.
President Of The United States (POTUS)Mkui, nisaidie maana ya POTUS🙏
😀😀😀President Of The United States (POTUS)
Ahahahahaha! Sio hivyo. Ni jambo jema kama jambo hulielewi unauliza. Ni njia ya kuongeza ufahamu. Hata mimi niliiona mtandaoni!😀😀😀
Kwa hiyo ungekuwa mtihani ndiyo ningekuwa nimeshafeli🥺
Shukran mkuu🙏
Nashukuru kunitia moyo kwamba mimi si mjinga kiviile🙏Ahahahahaha! Sio hivyo. Ni jambo jema kama jambo hulielewi unauliza. Ni njia ya kuongeza ufahamu. Hata mimi niliiona mtandaoni!
Suluhisho ni kuunda Katiba ya nchi, ambayo haitamfanya Rais wa nchi awe juu ya Sheria, ambapo hapaswi kufunguliwa mashtaka yoyote ya jinai, anapokuwa madarakani na hata anapostaafu!😎Fundishonnililolipata ni kuwa huyu wa kwetu anatakowa tumfunge kifungo Cha maisha jela.maana Nchi amaiharibu sana