Pre GE2025 Tunapata fundisho gani Kwa Trump, Rais wa zamani wa America, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Fundishonnililolipata ni kuwa huyu wa kwetu anatakowa tumfunge kifungo Cha maisha jela.maana Nchi amaiharibu sana
 
Somo kuu ni kuwa In America no one is above the law even the President,huku kwetu Rais yuko juu ya sheria,hagusiki
 
Fundisho ni Moja tuu,mtawala Yuko Juu ya chochote hakuna Cha Marekani Wala Katiba Mpya 😁😁
 
Somo kuu ni kuwa In America no one is above the law even the President,huku kwetu Rais yuko juu ya sheria,hagusiki
Absolutely true

Hapa kwetu, wanamlinganisha Rais wetu kuwa sawa na Mungu!😎
 
Fundishonnililolipata ni kuwa huyu wa kwetu anatakowa tumfunge kifungo Cha maisha jela.maana Nchi amaiharibu sana
Suluhisho ni kuunda Katiba ya nchi, ambayo haitamfanya Rais wa nchi awe juu ya Sheria, ambapo hapaswi kufunguliwa mashtaka yoyote ya jinai, anapokuwa madarakani na hata anapostaafu!😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…