Uchaguzi 2020 Tunapenda Dkt. Wilson Mahera na wenzake wasikie sauti ya Askofu ambayo inawakilisha watetezi wa haki wote nchini

Uchaguzi 2020 Tunapenda Dkt. Wilson Mahera na wenzake wasikie sauti ya Askofu ambayo inawakilisha watetezi wa haki wote nchini

OLE KWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) NA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC)!

Video iliyoambatanishwa hapo chini ni ya Dkt. Wilson Mahera alipokuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Mjini alipokuwa akiongea na Makada na Viongozi wa CCM na kusisitiza kuwa yeye [na Wakurugenzi wenzake] hawakuokotwa tu bali walipelekwa kule [katika majukumu ya Ukurugenzi] kikazi zaidi.

Kwa sasa Dkt. Wilson Mahera ndiye Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Huyu ndiye anayetakiwa k...uongoza Utendaji ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi inayotarajiwa na kutegemewa kutenda haki kwa kuendesha na kusimamia Uchaguzi ulio Huru na wa Haki. Lakini kauli zake kwenye video hii zinakinzana kabisa na dhana ya Uchaguzi Huru na wa Haki. Kauli zake zinaendana kabisa na kusawiri yanayoendelea sasa katika Majimbo na Kata mbalimbali nchini ambapo idadi kubwa ya Wagombea wa Upinzani wameenguliwa. Huyu ndiye mtu ambaye anashughulikia rufaa zote katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi!

Sasa tunapenda Dkt. Wilson Mahera na wenzake wote wasikie sauti ya Askofu ambayo inawakilisha watetezi wa haki wote nchini. Ni sauti inayowakilisha wale wote wanaoporwa haki zao kwa hila, nguvu na ubabe! Kwamba Mungu ndiye aliyetoa afya, uzima na uhai kwa Dkt. Mahera na wenzake. Mungu mwenye haki anatarajia watu wote wenye mamlaka akiwemo Dkt. Wilson Mahera watende haki. Kinyume cha hapo ni kuamsha hasira za Mungu dhidi yao. Dkt. Wilson Mahera na wenzake ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wanayo nafasi ya kurekebisha makosa yaliyofanywa na Wasaidizi wao (Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi Wasaidizi) na wao wenyewe. Ujumbe huu pia uwafikie Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar. Kwamba Tume zote mbili ziache kiini macho cha kupitia rufaa za walioenguliwa, bali ziwarejeshe wote katika kinyang'anyiro.

Wasihangaike kumtafuta Askofu bali wahangaike zaidi kutafuta namna ya kurekebisha makosa yaliyofanywa kwa makusudi au kwa kutokukusudia. Njia nyepesi na salama zaidi katika kurekebisha makosa hayo ni kushauri na kushinikiza Tume zote mbili kuwarejesha Wagombea wote walioenguliwa Bara na Visiwani bila masharti ye yote na pasipo kupoteza wakati.
Askofu anatimiza wajibu wake. Ole wake Askofu asipowoanya wanaotenda maovu kwa kufinya na kupora haki za wengine katika nchi (Ezekieli 33:1-20). Sambazeni ujumbe huu hadi katika sebule za watu wote wa Tume, waliowateua, watoto wao, jirani zao, kwa viongozi wao wa kiroho (Makasani na Misikitini), kwa madereva wao, na kwa kila mtu ili ikawe ushahidi juu yao kuwa sauti ya Askofu haikunyamaza juu ya watu hawa na juu ya nchi!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani
SISI HUKU ZANZIBAR, HATUNA IKULU YA RAISI WA SHIKAMOOO.
 
Marehemu Mkapa aliona mbali sana alipozungumza hadharani kuhusu umuhimu wa kuwepo Tume Huru na si hii Tume ya wahuni na majizi.
Mungu amlaze mahali pema peponi - lakini alipokuwa madarakani aliambiwa yote ya tume huru kwa kuwa alikuwa kwenye uhondo hakuyaona hadi alipotoka madarakani; na wenzie hivyo hivyo wakiwa madarakani hawaoni umuhimu wa tume huru, wakishatoka watakuja na hoja hizohizo - wananchi watakuwa tayari wameshaumia. Tuombe hasira ya wananchi isije kuamka hadi tutakapopata tume huru - Mungu ni mwema, atatuepusha na shari zote
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nakubaliana nawe kabisa au pia wakati wa Bunge la katiba kuitetea na kuipigania kwa nguvu zote rasimu ya Tume ya Warioba basi leo hii tusingekuwa hapa.

Kikwete alitaka kuikubali ile rasimu lakini baada ya kutishwa na wahuni ndani ya maccm kwamba kwa vile anamaliza muda wake kaamua kukiua chama wataanika maovu yake yote ya kampeni zake za 2005 ikiwemo kutumia mabilioni ya pesa za mafisadi kununua kupitishwa kama mgombea AKAUFYATA.

Maccm baada ya kuisoma rasimu ya Warioba walijua itakuwa ni vigumu sana kushinda uchaguzi kwa njia zao haramu hivyo wakamtisha Kikwete na yeye kusalimu amri.

Mungu amlaze mahali pema peponi - lakini alipokuwa madarakani aliambiwa yote ya tume huru kwa kuwa alikuwa kwenye uhondo hakuyaona hadi alipotoka madarakani; na wenzie hivyo hivyo wakiwa madarakani hawaoni umuhimu wa tume huru, wakishatoka watakuja na hoja hizohizo - wananchi watakuwa tayari wameshaumia. Tuombe hasira ya wananchi isije kuamka hadi tutakapopata tume huru - Mungu ni mwema, atatuepusha na shari zote
 
Video iliyoambatanishwa hapo chini ni ya Dkt. Wilson Mahera alipokuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Mjini alipokuwa akiongea na Makada na Viongozi wa CCM na kusisitiza kuwa yeye [na Wakurugenzi wenzake] hawakuokotwa tu bali walipelekwa kule [katika majukumu ya Ukurugenzi] kikazi zaidi.

Kwa sasa Dkt. Wilson Mahera ndiye Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Huyu ndiye anayetakiwa k...uongoza Utendaji ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi inayotarajiwa na kutegemewa kutenda haki kwa kuendesha na kusimamia Uchaguzi ulio Huru na wa Haki. Lakini kauli zake kwenye video hii zinakinzana kabisa na dhana ya Uchaguzi Huru na wa Haki. Kauli zake zinaendana kabisa na kusawiri yanayoendelea sasa katika Majimbo na Kata mbalimbali nchini ambapo idadi kubwa ya Wagombea wa Upinzani wameenguliwa. Huyu ndiye mtu ambaye anashughulikia rufaa zote katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi!

Sasa tunapenda Dkt. Wilson Mahera na wenzake wote wasikie sauti ya Askofu ambayo inawakilisha watetezi wa haki wote nchini. Ni sauti inayowakilisha wale wote wanaoporwa haki zao kwa hila, nguvu na ubabe! Kwamba Mungu ndiye aliyetoa afya, uzima na uhai kwa Dkt. Mahera na wenzake. Mungu mwenye haki anatarajia watu wote wenye mamlaka akiwemo Dkt. Wilson Mahera watende haki. Kinyume cha hapo ni kuamsha hasira za Mungu dhidi yao. Dkt. Wilson Mahera na wenzake ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wanayo nafasi ya kurekebisha makosa yaliyofanywa na Wasaidizi wao (Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi Wasaidizi) na wao wenyewe. Ujumbe huu pia uwafikie Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar. Kwamba Tume zote mbili ziache kiini macho cha kupitia rufaa za walioenguliwa, bali ziwarejeshe wote katika kinyang'anyiro.

Wasihangaike kumtafuta Askofu bali wahangaike zaidi kutafuta namna ya kurekebisha makosa yaliyofanywa kwa makusudi au kwa kutokukusudia. Njia nyepesi na salama zaidi katika kurekebisha makosa hayo ni kushauri na kushinikiza Tume zote mbili kuwarejesha Wagombea wote walioenguliwa Bara na Visiwani bila masharti ye yote na pasipo kupoteza wakati.

Askofu anatimiza wajibu wake. Ole wake Askofu asipowoanya wanaotenda maovu kwa kufinya na kupora haki za wengine katika nchi (Ezekieli 33:1-20). Sambazeni ujumbe huu hadi katika sebule za watu wote wa Tume, waliowateua, watoto wao, jirani zao, kwa viongozi wao wa kiroho (Makasani na Misikitini), kwa madereva wao, na kwa kila mtu ili ikawe ushahidi juu yao kuwa sauti ya Askofu haikunyamaza juu ya watu hawa na juu ya nchi!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani

Naona mahakama ya kimataifa ICC hiyo inawasubiria kwa hamu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Video iliyoambatanishwa hapo chini ni ya Dkt. Wilson Mahera alipokuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Mjini alipokuwa akiongea na Makada na Viongozi wa CCM na kusisitiza kuwa yeye [na Wakurugenzi wenzake] hawakuokotwa tu bali walipelekwa kule [katika majukumu ya Ukurugenzi] kikazi zaidi.

Kwa sasa Dkt. Wilson Mahera ndiye Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Huyu ndiye anayetakiwa k...uongoza Utendaji ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi inayotarajiwa na kutegemewa kutenda haki kwa kuendesha na kusimamia Uchaguzi ulio Huru na wa Haki. Lakini kauli zake kwenye video hii zinakinzana kabisa na dhana ya Uchaguzi Huru na wa Haki. Kauli zake zinaendana kabisa na kusawiri yanayoendelea sasa katika Majimbo na Kata mbalimbali nchini ambapo idadi kubwa ya Wagombea wa Upinzani wameenguliwa. Huyu ndiye mtu ambaye anashughulikia rufaa zote katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi!

Sasa tunapenda Dkt. Wilson Mahera na wenzake wote wasikie sauti ya Askofu ambayo inawakilisha watetezi wa haki wote nchini. Ni sauti inayowakilisha wale wote wanaoporwa haki zao kwa hila, nguvu na ubabe! Kwamba Mungu ndiye aliyetoa afya, uzima na uhai kwa Dkt. Mahera na wenzake. Mungu mwenye haki anatarajia watu wote wenye mamlaka akiwemo Dkt. Wilson Mahera watende haki. Kinyume cha hapo ni kuamsha hasira za Mungu dhidi yao. Dkt. Wilson Mahera na wenzake ndani ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wanayo nafasi ya kurekebisha makosa yaliyofanywa na Wasaidizi wao (Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi Wasaidizi) na wao wenyewe. Ujumbe huu pia uwafikie Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar. Kwamba Tume zote mbili ziache kiini macho cha kupitia rufaa za walioenguliwa, bali ziwarejeshe wote katika kinyang'anyiro.

Wasihangaike kumtafuta Askofu bali wahangaike zaidi kutafuta namna ya kurekebisha makosa yaliyofanywa kwa makusudi au kwa kutokukusudia. Njia nyepesi na salama zaidi katika kurekebisha makosa hayo ni kushauri na kushinikiza Tume zote mbili kuwarejesha Wagombea wote walioenguliwa Bara na Visiwani bila masharti ye yote na pasipo kupoteza wakati.

Askofu anatimiza wajibu wake. Ole wake Askofu asipowoanya wanaotenda maovu kwa kufinya na kupora haki za wengine katika nchi (Ezekieli 33:1-20). Sambazeni ujumbe huu hadi katika sebule za watu wote wa Tume, waliowateua, watoto wao, jirani zao, kwa viongozi wao wa kiroho (Makasani na Misikitini), kwa madereva wao, na kwa kila mtu ili ikawe ushahidi juu yao kuwa sauti ya Askofu haikunyamaza juu ya watu hawa na juu ya nchi!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani

Akiendekeza ujinga
KitakachomPata asilaumiwe mtu.
 
Marehemu Mkapa aliona mbali sana alipozungumza hadharani kuhusu umuhimu wa kuwepo Tume Huru na si hii Tume ya wahuni na majizi.
Na hicho ndicho kilichofanya maccm wenzake wamtangulize.
 
Back
Top Bottom