Amlodipine500
Senior Member
- Jun 24, 2024
- 109
- 175
Binafsi, nilitambulishwa kwa mke wa Mheshimiwa fulani. Nikaona niwe na mawasiliano naye mara kwa mara kama dada yangu. Hivi majuzi, aliniuliza kama nilikuwa tayari nimepata ajira. Nilipomwambia kwamba bado sijapata, aliniambia atanisaidia kwa kuzungumza na mume wake ili aone namna gani anaweza kunisaidia.
Sasa hapa najiuliza, baada ya yeye kuzungumza na mume wake, ikitokea nikaombwa kutoa pesa, basi nitakuwa katika matatizo. Nimeamua niwe nafanya juhudi za kukusanya mtaji mwenyewe na kusahau kuhusu ajira ya Tamisemi.
Sasa hapa najiuliza, baada ya yeye kuzungumza na mume wake, ikitokea nikaombwa kutoa pesa, basi nitakuwa katika matatizo. Nimeamua niwe nafanya juhudi za kukusanya mtaji mwenyewe na kusahau kuhusu ajira ya Tamisemi.