Amlodipine500
Senior Member
- Jun 24, 2024
- 109
- 175
- Thread starter
- #21
Ila wangetangaza tu bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel kabisaKama una ndugu yako amefanikiwa ni vizuri kumuomba akusaidie kupata mtaji ili na wewe ujipatie kipato. Ukisubiri ajira siku hizi unaweza kuchanganyikiwa, kuwa mlevi, mvuta shisha au changudoa
Nilishaandika Tanzania haina tatizo la ajira kuna Tatizo la vipaumbele cya Nchi yetu hasa kwa viongozi!!Binafsi, nilitambulishwa kwa mke wa Mheshimiwa fulani. Nikaona niwe na mawasiliano naye mara kwa mara kama dada yangu. Hivi majuzi, aliniuliza kama nilikuwa tayari nimepata ajira. Nilipomwambia kwamba bado sijapata, aliniambia atanisaidia kwa kuzungumza na mume wake ili aone namna gani anaweza kunisaidia.
Sasa hapa najiuliza, baada ya yeye kuzungumza na mume wake, ikitokea nikaombwa kutoa pesa, basi nitakuwa katika matatizo. Nimeamua niwe nafanya juhudi za kukusanya mtaji mwenyewe na kusahau kuhusu ajira ya Tamisemi.