Amlodipine500
Senior Member
- Jun 24, 2024
- 109
- 175
Wanatishia kutoa kama vile mototo anatishiwa pipiInasikitisha sana,wamedokeza kua ajira za afya na ualimu,kila mara wamekua wakirejea hilo tamko,halafu hawatoi na zikitoka ndo hivyo zinakabiwa juu kwa juu,hebu watoe ajira bhana,upate na sisi tusiokua na koneksheni tubahatishe.
Tangu mwezi wa pili wanatishia kuzitoaInasikitisha sana,wamedokeza kua ajira za afya na ualimu,kila mara wamekua wakirejea hilo tamko,halafu hawatoi na zikitoka ndo hivyo zinakabiwa juu kwa juu,hebu watoe ajira bhana,upate na sisi tusiokua na koneksheni tubahatishe.
Sijui wanatuonaje....?Tangu mwezi wa pili wanatishia kuzitoa
Unashangaa aleimaliza 2023 anapata ajira wa 2018 tunakosaSijui wanatuonaje....?
Labda wanasubiri na hawa madogo pia wamalize vyuo,halafu ndo watangaze.
Ndo mambo ya kijinga hayo,halafu baadhi ya watu wanakuja wanasema ni BAHATI,ujinga sana.If i could know,nisingesoma li digrii hili,nimepoteza muda tu,wanasiasa wanacheza mind games tu,wanasema wanatoa ajira kila siku tunachungulia TAMISEMI hakuna jipya.Watoe ajira na waanze wa zamani,na siyo waanzie juu,tuonekane sisi hatuna bahati kumbe ni ujinga wao.Unashangaa aleimaliza 2023 anapata ajira wa 2018 tunakosa
Ni changamoto mkuu.Vyuo vinatema kila mwaka lakini hakuna sera ya kutengeneza ajira mpya, viwanda changamoto.... Zamani kimbilio lilikuwa tu ni ualimu na udaktari nako kutajaa tu, ratio ya waliomaliza chuo na nafasi zinatakuwa nafasi 1 kwa watu 1000 kimbembe hicho.
Na mabadiliko haya yalianza kidogo kidogo, wazee wetu walikuwa wanafanya pepa ya mwisho tayari barua ya ajira mezani, enzi hizo form 4 dili, ikaja 6 dili, ikaja chuo, sasa chuo unamaliza na baadhi ya taaluma ajira ni kimbembe
Unachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.Binafsi, nilitambulishwa kwa mke wa Mheshimiwa fulani. Nikaona niwe na mawasiliano naye mara kwa mara kama dada yangu. Hivi majuzi, aliniuliza kama nilikuwa tayari nimepata ajira. Nilipomwambia kwamba bado sijapata, aliniambia atanisaidia kwa kuzungumza na mume wake ili aone namna gani anaweza kunisaidia.
Sasa hapa najiuliza, baada ya yeye kuzungumza na mume wake, ikitokea nikaombwa kutoa pesa, basi nitakuwa katika matatizo. Nimeamua niwe nafanya juhudi za kukusanya mtaji mwenyewe na kusahau kuhusu ajira ya Tamisemi.
Unachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.
KUnachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.
Unachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.
IsiweUnachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.
Isiwe tu tamisemi hizo interview labda za polisi mkuu?Unachosema ni kweli. Kuna sehemu fulani soon watatangaza kazi lakini 90% ya hizo kazi tayari zina wenyewe. Vigogo washaweka watu wao zinatangazwa kama ushahidi tu na huenda watu wakafanyishwa interview.
Hahaha hapana mkuu. Ni mojawapo ya sehemu nyeti zilizobinafisishwa.K
Isiwe
Isiwe tu tamisemi hizo interview labda za polisi mkuu?