Tunapoelekea ajira itakuwa ndoto kupata kwa watoto wa maskini na kama huna connection

Waache wakae kimya,kuja siku wasiokua na ajira watachoka.
 
Kama una ndugu yako amefanikiwa ni vizuri kumuomba akusaidie kupata mtaji ili na wewe ujipatie kipato. Ukisubiri ajira siku hizi unaweza kuchanganyikiwa, kuwa mlevi, mvuta shisha au changudoa
 
Nilishaandika Tanzania haina tatizo la ajira kuna Tatizo la vipaumbele cya Nchi yetu hasa kwa viongozi!!

Ajira zipo nyingi na mahitaji yapo sana lakini serikali inagoma kuathiri ilu wapate posho na anasa za kuwalipia viongozi!!!

Ajira zipo kibao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…