Pre GE2025 Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, tuepuke wagombea wanaotaka kutugawa kwa misingi ya udini, ukabila, jinsia na ukanda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Stupid
 
CHADEMA msubiri uongozi wa kupewa tu ifikapo 2025

Hamchaguliki.

Ulisikia mapovu ya Tundu Lissu juzi kwenye mahojiano na Star T.V

Mbula

Kwa akili zenu za ki CHADEMA mnafikiri anachagulika yule?
Unachagulika wewe.
 
Hebu mtaje mmojawao tuanzia hapo tuliwaweka wazi itakuwa jambo la heri kwa Taifa.
Tumetoka Vatican ujue kuomba baraka.
 

Yani hapo ndipo keyboard warrior wa CHADEMA mlipofikia?

Yaani umezunguka kwenye fuvu lako lote hilo ulilolibeba na yanayo kutoka kinywani ni "Stupid" ?? C'mon you can do better than that.

Jaribu kuwa mbunifu.

Yani unakasirika kusoma ukweli?

Econonist unajitahidi sana, ukizingatia kazi mbili ulizonazo. As a spin doctor and a masseur. Ndio, wewe ni mchua misuli na Mropokaji, vitu viwili tu ambavyo unalipwa na T.L na Mbowe kufanya. Una makasiriko tangi ujiunge na CHADEMA umebaki kuwa ulivyo. Kufanya massage na kutukana.
 
Unachagulika wewe.
Unakimbia hoja, unaleta viroja.

Wapi nimesema natafuta kuchaguliwa.

Mbowe na Lissu kila siku wanajinadi, unafikiri ni kwasababu wanawajali wananchi au ni kwasababu wanataka madaraka?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nitaenda kupiga kura nikizingatia haya:πŸ‘‡

1. Sukari kilo moja 5200/=
2. Hospitali hazina madawa ila magari yamefika namba STN πŸ˜‚
3. Mgao wa umeme umekua sehemu ya maisha
4. Kuna mikoa haijaunganishwa kwa barabara ya lami
5. Bei ya mbolea imepanda kwa zaidi ya 40%
6. Maisha yamezidi kuwa magumu huku wachache wakifaidi keki ya taifa hukooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…